Squidward
JF-Expert Member
- Jul 21, 2014
- 7,828
- 9,546
Ule bapa 3 usilewe au ulikuwa inakunywa visichana 2 tu ukasema konyagi mbili piga bapa 2 uone kama hata wewe ujajisahau.
sio bapa, jibapa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ule bapa 3 usilewe au ulikuwa inakunywa visichana 2 tu ukasema konyagi mbili piga bapa 2 uone kama hata wewe ujajisahau.
itakua wewe ni mlevi sugu mkuuSafari siku haina tofauti na Kilimanjaro napiga hata kumi lakini nahisi kama nimekunywa fanta ya baridi
Au carton ya virobakunywa konyagi nne halafu uje na mrejesho kama hujalewa kuna watu watajiuzulu.
Mnywaji wa kawaida tuu ila nilisoma st Petersburg Russiaitakua wewe ni mlevi sugu mkuu