Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
Ni hivi,
Mimi nikiongea sana au hata story yakuadithia kwa dakika kadhaa huwa koo linakauka na sauti inapotea na kukwaruza kwaruza,
Ni kwann eti? Au kuna chakula natumia ndo chanzo cha yote,maana bia sio mnywaji sanaa,inaweza kupita miezi au mwezi nikanywa tatu au nne tu,
Mimi nikiongea sana au hata story yakuadithia kwa dakika kadhaa huwa koo linakauka na sauti inapotea na kukwaruza kwaruza,
Ni kwann eti? Au kuna chakula natumia ndo chanzo cha yote,maana bia sio mnywaji sanaa,inaweza kupita miezi au mwezi nikanywa tatu au nne tu,