Nikipata mshahara tu ghafla mke wangu namuona kama anageuka kuwa ngendere

Nikipata mshahara tu ghafla mke wangu namuona kama anageuka kuwa ngendere

ROOM 47

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2022
Posts
2,301
Reaction score
7,460
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, yaani nikipata mshahara tu gafla namuona wife anataka kugeuka kuwa ngedere, yaani anabadilika kabisa huwezi amin. Yaani nataman hata kumpeleka Hifadhi ya Mikumi.

Kwanza masikio yake nayaona yanataka kuwa marefu kama ngedere, manyoya ya mgongo yanamtoka, nyusi zinaongezeka kama paka mtu basi tafrani.
Huwa najiami kwa kumfungia ndani kabisa hata kwa siku tano na mimi kwenda mbali kidogo kutafuta wafuga ngedere wenzangu.

Aaahhaah Java, Kitamba Cheupe, Barakuda, Kidimbwi, kimbembe mshahara ukiishaa sasa naanza kumuona wife anachange kidogokidogo mara namuona kama Beyonce wa Jay Z, mara naanza kumuona Rihanna, mara paah namuona eeh huyu si ndiyo wife huyu tena chaguo langu alilonipa Sir God?

Jokes, jokes!
 
Mwishoni ukashtua kabisa kwamba ni chai
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu..yaani nikipata mshahara tu gafla namuona wife anataka kugeuka kua ngedere yaani anabadilika kabisa huwez amin yaani nataman hata kumpeleka hifadh ya mikumi kwanza
Masikio yake nayaona yanataka kua marefu kama gendere ,manyoya ya mgongo yanamtoka ,nyusi zinaongezeka kama paka mtu basi tafulani
Hua najiami kwa kumfungia ndani kabisa hata kwa siku tano na mim kwenda mbali kidogo kutafuta wafuga gendere wenzangu ..aaahhaah java, kitamba cheupe,barakuda,kidimbwi....
Kimbembe mshahara ukiishaa sasa naanza kumuona wife anachange kidogokidogo mara namuona kama Beyonce wa jay z mara naanza kumuona rihana mara paah namuona eeh huyu si ndo wife huyu tena chaguo langu alonipa Sir God........jokes jokes

Mmm
IMG_0195.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wamevurugwaaaa wallah lol
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu..yaani nikipata mshahara tu gafla namuona wife anataka kugeuka kua ngedere yaani anabadilika kabisa huwez amin yaani nataman hata kumpeleka hifadh ya mikumi kwanza
Masikio yake nayaona yanataka kua marefu kama gendere ,manyoya ya mgongo yanamtoka ,nyusi zinaongezeka kama paka mtu basi tafulani
Hua najiami kwa kumfungia ndani kabisa hata kwa siku tano na mim kwenda mbali kidogo kutafuta wafuga gendere wenzangu ..aaahhaah java, kitamba cheupe,barakuda,kidimbwi....
Kimbembe mshahara ukiishaa sasa naanza kumuona wife anachange kidogokidogo mara namuona kama Beyonce wa jay z mara naanza kumuona rihana mara paah namuona eeh huyu si ndo wife huyu tena chaguo langu alonipa Sir God........jokes jokes
Siku akifa ndio utajua alikua malaika
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu..yaani nikipata mshahara tu gafla namuona wife anataka kugeuka kua ngedere yaani anabadilika kabisa huwez amin yaani nataman hata kumpeleka hifadh ya mikumi kwanza
Masikio yake nayaona yanataka kua marefu kama gendere ,manyoya ya mgongo yanamtoka ,nyusi zinaongezeka kama paka mtu basi tafulani
Hua najiami kwa kumfungia ndani kabisa hata kwa siku tano na mim kwenda mbali kidogo kutafuta wafuga gendere wenzangu ..aaahhaah java, kitamba cheupe,barakuda,kidimbwi....
Kimbembe mshahara ukiishaa sasa naanza kumuona wife anachange kidogokidogo mara namuona kama Beyonce wa jay z mara naanza kumuona rihana mara paah namuona eeh huyu si ndo wife huyu tena chaguo langu alonipa Sir God........jokes jokes
Yani wewe ni Mimi kabisaaaa mzee wangu
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu..yaani nikipata mshahara tu gafla namuona wife anataka kugeuka kua ngedere yaani anabadilika kabisa huwez amin yaani nataman hata kumpeleka hifadh ya mikumi kwanza
Masikio yake nayaona yanataka kua marefu kama gendere ,manyoya ya mgongo yanamtoka ,nyusi zinaongezeka kama paka mtu basi tafulani
Hua najiami kwa kumfungia ndani kabisa hata kwa siku tano na mim kwenda mbali kidogo kutafuta wafuga gendere wenzangu ..aaahhaah java, kitamba cheupe,barakuda,kidimbwi....
Kimbembe mshahara ukiishaa sasa naanza kumuona wife anachange kidogokidogo mara namuona kama Beyonce wa jay z mara naanza kumuona rihana mara paah namuona eeh huyu si ndo wife huyu tena chaguo langu alonipa Sir God........jokes jokes
Yani mim ningekua nakuvizia ukishapata kamshara nakuwekea dawa ya usingizi unakuja kushtuka jumatatu pesa yako yote nmeifanya vyenye nataka.
Alaf sema nn mke wako bado sio ngedere ni kobe hajui janja janja
 
Back
Top Bottom