Nikipata mshahara tu ghafla mke wangu namuona kama anageuka kuwa ngendere

Ukiwa huna pesa na yeye ndivyo anavyokuona
 
Sorry unamjua Kisandu wa JF?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]DJ tuletee mke
 
Hahahahaaaa,hii sio chai ni kweli kabisa
 
Haya maisha bwana.
Wewe ukiwa huna pesa wife anakuona kama mbuzi😅
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16], we jamaa ikitokea mke wako amegundua huu uzi ni wako, ndoa imeisha
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…