Pole mkuu.Habari zenu wadau, mwenzenu nkiwa na wasiwasi mwili mzima unasisimka na jasho kutoka, mwenye kujua tatizo hili anijuze
Umemaliza mkuuPole mkuu.
Je,1.Huwa unafanya mazoezi ya mwili Kama kukimbia au kutembea? na hufanyaje?
2.Ulaji wako ukoje?
3.Unastress? au ulikuwa na stress kipindi Cha nyuma??
Jibu maswali haho ndo tuone Ni tatizo gani na sababu Kisha tusaidiane jinsi ya kulitatua
Ahsante mkuuUmemaliza mkuu
Pole mkuu.
Je,1.Huwa unafanya mazoezi ya mwili Kama kukimbia au kutembea? na hufanyaje?
2.Ulaji wako ukoje?
3.Unastress? au ulikuwa na stress kipindi Cha nyuma??
Jibu maswali haho ndo tuone Ni tatizo gani na sababu Kisha tusaidiane jinsi ya kulitatua
Ahaa jinsi ya kujisaidia[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hiyo ni Panic attack.
Google maelezo yake na jinsi ya kujisaidia
Mazoezi ni tiba toshaAhsante mkuu
Ok pia nna wasiwasi mno kuzidi kipimo, hata vitu vya kawaida nakua na wasiwasi navyo
Ahaa jinsi ya kujisaidia[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Dawa?