Nikipenda tena nigeuke nguruwe

tafuta plan B yakumzuia mianya ya yeye kuchepuka mzigo wako mwenyew unawaachia vibaka kizembe au huna uchungu nao? hainaga kufeli pigania penzi lako ushaambiwa fisi wanejaa kila mahali ukisizubaa tu wanamkwapua
 
Mmmmh pole saana mkuu viatu vyako havivaliki ......
Ila mda mwingine sisi wanawake tunashida sanaa mungu atusaidie tuu
Pole saana
 
Navyojua wafanyabiashara wanaofuata mizigo China, huwa wanalala zaidi ya mmoja ili ku save hela,.
Hivyo furahi tu kwan huenda hata nauli kalipiwa.
 
Mmmmh pole saana mkuu viatu vyako havivaliki ......
Ila mda mwingine sisi wanawake tunashida sanaa mungu atusaidie tuu
Pole saana

mna shida mpaka mnataka
sisi wote tuwe nguruwe
 
Pole sana mkuu
 
Kataa ndoa oyeeeee
 
Kataa ndoa oyeeeee
 
Pole sana mkuu. Unaambiwa mwanamke ni mdhaifu hujui usemi huu una maana gani, hawa viumbe hata uwafanyie nini wape kila kitu hata mpe Dunia hii yote mwambie yako. Atadanganywa na kitu kidogo tu. Atasahau vyote.
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…