maliyamungu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 564
- 419
- Thread starter
-
- #21
daaa! nimeumia si kidogo, ila haya mambo ya kuchunguza chunguza nayo si mazuri.
we kausha muwekee vikwazo (hahahaha tafuta uzi flani wa jamaa alimuwekea vikwazo demu wake). pokonya kimtaji taratibuuu alafu lala mbele.
Unamaanisha nini mkuu.....Chunguza kwanza
Hawa viumbe, haijawahi kujulikana wanataka nini ama wanaridhika kwa lipi......Pole sana mkuu. Unaambiwa mwanamke ni mdhaifu hujui usemi huu una maana gani, hawa viumbe hata uwafanyie nini wape kila kitu hata mpe Dunia hii yote mwambie yako. Atadanganywa na kitu kidogo tu. Atasahau vyote.
Naunga mkono hojaNi ajali tu za maisha, utayasahau na utampata alie mwaminifu. Ile kitu kushare hapana bwana piga china
Cc: maliyamungunjoo kwangu sitakusumbua hata kidogo
usinisahau hata buku 20, tumpige collaboration arudi kimbiji kwa mguu.Umenifundisha jambo nalifanyia kazi nijikopeshe mtaji kidogo kidogo then ndio nimuache
Weka akiba ya maneno ndg yangu! Kwanj ulipopenda mwanzoni ulikua kunguni?nyumbu?kongoni? Au??Nilimpenda sana mke wangu sababu ya tabia zake na upole wake juu yangu kumbe nilikuwa sijajua yeye ni nyoka.
Nimemkuta yuko na maisha ya chini sana nimesaidia yeye na ukoo wake nikasema nimpe mtaji kaanza biashara sasa nyota imemwakia China kila leo.
Mungu sio Lemutuz juzi nampigia simu kwenye mtandao wa We chat mtu hapokei. Kwakuwa nilijua yuko hotel gani nikagoogle hotel nikapata number eeeh nikapiga reception kuomba waniunganishe nae kapokea mwanaume nilivyosikia sauti ya mwanaume nikaongea kama mchina can I talk to ..... ;nikamtajia jina. Mke kapewa simu kusikia sauti yangu kakata simu.
Roho inaniuma sana sina nguvu maumivu haya ni mazito ukitoa msiba wa mamangu hakuna naweza fananisha na maumivu haya siku nikipenda tena nigeuke nguruwe nimeweka nadhiri.
hahaha [emoji23][emoji28][emoji23] we muache tu aiseeMkuu ukigeuka kitimoto tutakutafuna aisee
Mchina anatoa material yaliyo fuatwa huko mkuu hii ngumuuuu kumeza isikie kwa jiran tuPole sana ukiachilia huduma huwa unamridhisha???? Ni Muda gani unapita hamjaonana???? Au mchina kaongeza dau???? Inauma asee
Cc Smart911