Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nataka kumpa pole kwa vitendooooUnataka mwenzio awe nguruwe ee?
Ok tuassume hakufanya chocht kwa uyo mke wake lkn ndo anagundua mkewe yupo China na njemba nyingine, unadhani asingeumia kisa hajagharimika ?Unapomsaidia mtu yeyote awaye yule....either mke au mtu baki tu...fanya hivyo kwa upendo wa moyo wako.fanya hivyo with in your capacity...ucfanye au kutoa msaada ulio nje ya uwezo wako...ukifanya kitu ndani ya uwezo wako either ni msaada wa fedha au mali kwa mtu hata siku yule mtu mmetofatiana haitakuuma kwa sababu myo wako ulipata faraja kwa kufanya hvyo na nafsi yako haitaumia bcz ni kitu kilichokuwa ndani ya uwezo wake...but otherwise ukifanya zaidi ya uwezo wako au ukifanya kwa kutegemea kitu u will end up bitter and dissapointed...do it for love and because you can
[emoji102] [emoji102] [emoji102]nataka kumpa pole kwa vitendoooo
Hajacite uzinifu wa mke wake kwenye uzi wake...but sana sana amelalamikia msaada aliompa..na jinsi alivyomwezesha...analalamikia mali zaidi kuliko uaminifu na mapenzi ya mke wake...Ok tuassume hakufanya chocht kwa uyo mke wake lkn ndo anagundua mkewe yupo China na njemba nyingine, unadhani asingeumia kisa hajagharimika ?
hakuna mkamilifu 100% ni katika mapungufu hayo ndiyo tunasaidiana. mtaji kampa mwenyewe ili azurure!! mkiwa mbali mbali kama si mwanamke basi manume lazima wengine waingilie hapo kugonga ama kugongwa , kwa nini chinana wasiende wote. ?Marufuk ya nn keshagongewa. Ningekuwa mm ningemkeketa uyo Demu asipate genye tena
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ameeenPole sana mkuu. Ee Mungu tusaidie hawa viumbe hebu wape mioyo ya utu jamani walau pandisha gauge zao za utu zikaribie full tank baba, ziko chini sana baba.. Amen
Tena ugeuke nguruwe jike.
Mwanzoni nilimwonea huruma huyu jamaa baadaye nimegundua kumbe ni kenge tu iweje umpigie simu mke wako saa10 usiku, kibaya zaidi unaongea rafudhi ya kichina wakati wewe ni mkerewe, alichokitafuta amekipataNi mkewe. Ana haki ya kupiga simu muda wwte
Umle kwa ndizi?nataka kumpa pole kwa vitendoooo