Nikipona mchepuko anakula kibuti maana haridhiki

Nikipona mchepuko anakula kibuti maana haridhiki

Nina mchepuko wangu ambao ninausimamia kwa 100% katika kila kitu

Huu mchepuko unanipenda kwa ninavyouona,pia nishauchunguza sana hauchepuki labda kama unafanya kwa siri sana

Tatizo lake haridhiki,anaomba helq kila sekunde hata umpe kiasi gani bado kesho atakuja akuombe

Unaweza mpa pesa nyingi tu ila kesho akarudi kutaka nyingine

Mpaka najiuliza hivi huyu hajui kuwa tuko kipindi cha bwana jpm??

Kilichonikera ni lastweek nimetoka kumlipia kodi yake kwenye nyumba anayokaa pesa nyingi vi mil kadhaa

Sasa cha ajabu jana nimeenda kupumzika kwake nikiwa naumw kweli na anaona hilo ila asubuh alipomka bila kujali naumwa na nimetoka kumlipia kodi juzijuzi tu eti akaniambia anaomba nimnunulie Iphone 7!!!!

Nilimwangalia na kukubali kishingo upnde ila nimepanga nikipona naenda kwa mwenye nyumba na kumweleza nafunga ile nyumba maana mimi ndo mpangaji na sio yeye

Na kwa sababu kila kitu kilichopo ndani ya ile nyumba nimenunua mimi nimepanga nimtolee nguo zake zikiwa kwenye begi na kuziweka nje kisha nibadili vitasa na funguo za milango yote

Akija atakuta vitu nje na mimi ntakuwa nishabadili line zangu kwa siku mbili tatu

Baada ya hapo ntatulia kdg kama wiki au mwezi kisha niibuke vyuoni nione kama ntapata mchepuko mpya uliokosa mkopo unitunze

Nb: nakuwa na mchepuko kwa sababu hatuko katik mahusiano mazuri na wife na isitoshe yuko mkoani

Je niko sahihi?
Umeisha aumua unakuja kutuuliza huku ujinga wa kiwango cha ukaoge wa cloud s FM kwenye take one
 
Nina mchepuko wangu ambao ninausimamia kwa 100% katika kila kitu

Huu mchepuko unanipenda kwa ninavyouona,pia nishauchunguza sana hauchepuki labda kama unafanya kwa siri sana

Tatizo lake haridhiki,anaomba helq kila sekunde hata umpe kiasi gani bado kesho atakuja akuombe

Unaweza mpa pesa nyingi tu ila kesho akarudi kutaka nyingine

Mpaka najiuliza hivi huyu hajui kuwa tuko kipindi cha bwana jpm??

Kilichonikera ni lastweek nimetoka kumlipia kodi yake kwenye nyumba anayokaa pesa nyingi vi mil kadhaa

Sasa cha ajabu jana nimeenda kupumzika kwake nikiwa naumw kweli na anaona hilo ila asubuh alipomka bila kujali naumwa na nimetoka kumlipia kodi juzijuzi tu eti akaniambia anaomba nimnunulie Iphone 7!!!!

Nilimwangalia na kukubali kishingo upnde ila nimepanga nikipona naenda kwa mwenye nyumba na kumweleza nafunga ile nyumba maana mimi ndo mpangaji na sio yeye

Na kwa sababu kila kitu kilichopo ndani ya ile nyumba nimenunua mimi nimepanga nimtolee nguo zake zikiwa kwenye begi na kuziweka nje kisha nibadili vitasa na funguo za milango yote

Akija atakuta vitu nje na mimi ntakuwa nishabadili line zangu kwa siku mbili tatu

Baada ya hapo ntatulia kdg kama wiki au mwezi kisha niibuke vyuoni nione kama ntapata mchepuko mpya uliokosa mkopo unitunze

Nb: nakuwa na mchepuko kwa sababu hatuko katik mahusiano mazuri na wife na isitoshe yuko mkoani

Je niko sahihi?
Mkuu,,nakuunga mkono kwa asilimia zote....akatafute wenye huo uwezo maana inawezekana ndo mchezo wake.
Pia uwe makini asije kukuendea kwa babu maana hawachelewi
 
Jishushe ili muende sawa usishindane nae kwa vile ni mkeo raha ya watoto muwalee kwa pamoja
Siwez jishusha kwa mwanamke niliyemtolea mahali never! Labd ntakua sio mkurya! Hata mungu atanishangaa maana alisema nitakuwa kichwa cha nyumb so nikijisusha ni dhambi kwa mungu
 
Mchepuko sio solution ya matatzo katika ndoa hilo fahamu hebu mkae muyajenge na mkeo labda umbali umesababisha mapenz kupungua mjue mnafanyaje naamini unampenda mkeo fanya hivo matatzo ya kimahusiano hayatakiwi kukaa muda mrefu bila kupata ufumbuzi
Wakati akisubiria kuyajenga kwa mkewe ameona awe anajipoza kwa mchepuko.
Pia huwezi jua chanzo cha kutokuwa vizuri na mkewe....pengine mke huko alipo ni mchepukaji aliyekubuhu
 
duuuh life iz not fair
yaan wengine tunahangaika na life jamaa anahangaika na madem
 
Hatuwez kusuruhishwa maana kila mmoja anajiona anaweza ishi bila mwenzake na vyeo anavyopanda ndo vinampa kibur zaid acha tuish hivi hivi na sina mpango wa kuoa tena
Na yeye anajiona ameshakuwa mwanaume ni hatariii ni kweli wanawake lazima tupate elimu tujimudu kiuchumi na kuweza kudai haki zetu ila inapofika kwenye ndoa lazima tuwe na utulivu kidogo ila saiv mwanamke kumuheshimu mumewe ni Sawa Sawa na tundu la sindano ni utata sasa mtaishi hivyo mpaka lini Kama mwislamu basi ukipata mkaelewana oa wa pili
 
Wakati akisubiria kuyajenga kwa mkewe ameona awe anajipoza kwa mchepuko.
Pia huwezi jua chanzo cha kutokuwa vizuri na mkewe....pengine mke huko alipo ni mchepukaji aliyekubuhu
Amesema mkewe amekuwa na dharau baada ya kupanda vyeo ila tatizo ambalo naliona ni watu kulea matatzo madogo madogo mwisho kuwa makubwa yaan any doubts ambayo itashow up lazima haraka mtafute solution mapema then mnasonga mbele so unakuta huyu kutokua poa ni Wife ni mkusanyiko wa mambo mengi tena madogo madogo
 
"Toa ndugu toa ndugu ulichonacho wewe; na Mungu anakuonaaaaaa!" Haya wote kwa pamoja: TOAA NDUGU TOAA NDUGU ULICHO--NACHO WEWE NA MUNGU ANAKUONAAAAAA!

Kuchunwa ni kuchunwa mbaya kuchunwa bila kuchuna kiongozi; kwa we endelea tu kufupia!

Ila kiongozi hilo la kwenda kufunga nyumba ni ushamba uliopitiliza sawa na ushamba wa kunyang'anya vitu ulivyokuwa umetoa kwa mapenzi yako mwenyewe.
 
Kinachokushinda ni kuongea nae? Mwanaume gani wewe? Mwambie ukweli. Kama ni mtu mwenye akili timamu atakuelewa.

Nb.kama hili ni tangazo basi kila la kheri.
 
Tatizo la kuwa na michepuko tegemezi acha nibaki na watu wazima tukaoshauriana maisha na hapo usikute kuna mpaka rangi anamgonga aiseee
 
Amesema mkewe amekuwa na dharau baada ya kupanda vyeo ila tatizo ambalo naliona ni watu kulea matatzo madogo madogo mwisho kuwa makubwa yaan any doubts ambayo itashow up lazima haraka mtafute solution mapema then mnasonga mbele so unakuta huyu kutokua poa ni Wife ni mkusanyiko wa mambo mengi tena madogo madogo
Mkuu,,inawezekana mwanamke alobadilika baada ya kupanda vyeo akarudi ktk ukawaida wake?
Mi mke wa hivyo naona hana tofauti na wanaowakataa wachumba zao baada ya kumaliza chuo,,kupata kazi au kupata bwana mwenye uwezo zaidi.
 
Back
Top Bottom