Nikisafisha picha kwa Tsh 2000 itanilipa?

Nimenunua epson printer L800 na hapa mjini studio zinasafisha picha kwa tsh 200 picha ya size 4 kwa 6, je mimi nikisafisha kwa 200 nitapata faida? Msaada wadau
inalipa tu , mimi ninayo natumia kuprintia karibu kila siku. Tatizo ni speed ndogo lakini ni mashine safi sana
 
inalipa tu , mimi ninayo natumia kuprintia karibu kila siku. Tatizo ni speed ndogo lakini ni mashine safi sana

mkuu ushawahi ku print cd au dvd? na kama ndio kila cd unayoprint kwa kutumia printer hii una charge sh. ngapi?
 
Msaada wakuu nadandia mada...Mimi nina epson xp 600 inatumia cartrig tano sasa moja photo black 26xl imekwsha nmejaribu kurifill imegundua wno syo genuine. Naomba msaada wa kiufundi nifanye nn na npate wap refillable cartrig za hii printer!
 
mkuu ushawahi ku print cd au dvd? na kama ndio kila cd unayoprint kwa kutumia printer hii una charge sh. ngapi?
huwa na charge 500 kwa printing yoyote ile, printer nimenunua kwa matumizi yangu binafsi so bei hiyo siyo ya ushindani unaweza fanya utafiti zaidi ujue bei wanayo printia mtaani
 
Msaada wakuu nadandia mada...Mimi nina epson xp 600 inatumia cartrig tano sasa moja photo black 26xl imekwsha nmejaribu kurifill imegundua wno syo genuine. Naomba msaada wa kiufundi nifanye nn na npate wap refillable cartrig za hii printer!
hebu search google how to refill px600, kuna jinsi ya kufanya ikakubali kufanya kazi, nyingine kuna code za kuingiza, kuna kureset by using software, ila ukisearch vizuri unapata jibu
 
Vipi kwa L850 Mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…