Nikisikia mwanaume anaoa mwanamke fulani ninaye mjua kitaani kwetu huwa napata huruma kwa mwamba

Ni kweli mkuu ukitokea unataka kuoa sehem ambayo ni mgeni jichanganye na wahuni (benchi la ufundi) wa maeneo husika wakupe abc za unayetaka kumuoa, ukijumix ukaenda kichwakichwa unaweza angukia pua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…