mwanafasafajo
Member
- Jun 18, 2019
- 11
- 0
Ndugu nina wazo ambalo nimekwisha ongea na watu wachache ninao waamini wakaniambia nitafute wadau niweze kufanya nao ubia na kupata hati miliki naomba kuasilisha!
Lakini Sijui namna ya kupata mbia na hati,naomba kujua taratibu
Lakini Sijui namna ya kupata mbia na hati,naomba kujua taratibu