Nikitongoza huwa nafurahi sana nikikataliwa kuliko nikikubaliwa....!

Nikitongoza huwa nafurahi sana nikikataliwa kuliko nikikubaliwa....!

halafu nikikukataa unashangilia, na nikikukubali unanichukua kwa shingo upande ama?

Inawezekana anataka kutongozwa yeye, "wanaume kama mabinti" style. Si mambo ya usawa tena.
 
we muongo.hakuna kitu kama hicho kwa rational behavior ya mwanadamu! may be una some mental breakdown!!
 
Sikujua kama kuna watu wanafanya mambo ili washindwe.
 
Kuna jinsi ya kupima kama mtoto wako ni wa kawaida
Muwekee katuni ya Tom an Jerry

Ukiona anamshabikia Tom, ita daktari wa akili haraka

we muongo.hakuna kitu kama hicho kwa rational behavior ya mwanadamu! may be una some mental breakdown!!
 
....jukwaa lina mambo hiilii...

...kifupi wewe huna hela.......
 
mtoa mada na watoa coment mnanichekesha mwana wa mwenzenu.

sipati picha siku ukikubaliwa sijui utasema samahani dada nilikua nakutania tu.
 
Du!! Hi sasa kali wakati c wengine tukikataliwa ndo nguvu inaongezeka hadi kieleweke!
 
hahahaha acha uongo kama ulienda kwa lengo la kukataliwa usingeenda hayo maneno ya mkosaji tu yakujipoza
 
Back
Top Bottom