St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,956
- 5,149
Soma ulichokiandika kisha elewa ulitaka kuniambia nini.. Alikuwa binadamu, abadan hakuwa nabii.. Kwani manabii hawakuwa binadamu..?? Anyway.. Hata ukikataa haitabadilisha mtazamo wangu kuwa JPM alikuwa Nabii..Alikuwa binadamu abadan hakuwa nabii. Binadaamu n ana up ande wa wema na ubaya. Nabii hapana
Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Hakuna wa kukuuliza kitu hayo ni mawazo yako.Anaweza it was shujaa mtesi na aliyeomba kuombewa kwa maovu na ukatili wa kinyama! Alitaka wote wamsujudie yeye!
Unaweza sema mengi lakini alishalala apumzike tu kwa mola.!
Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
Hakika JPM amefariki.Lakin kwa kuwa alikuwa bora ,basi anakumbukwa ,kwa watu kuanzisha nyuzi.Hakika Mungu amrehemu huyu mzalendo wa kweli.Habari!
Kwakuwa jf ni huru sidhani kama uzi huu uliojaa mawazo huru usio na kejeli wala matusi sitarajii kwamba utafutwa.
Nikiulizwa Magufuli ameacha nini kwa Watanzania, pasi kupapasa nitajibu kuwa "Magufuli ameacha hofu kwa Watanzania, itachukua miaka mingi sana kuipndoa".
Watanzania katika serikali za awamu ya 1, 2,3 na 4 kidogo walikuwa watu wanaozifahamu haki zao na wakati mwingine walithubutu kuzidai kwa nguvu walipoona zinacheleweshwa na wenye mamlaka.
Ila tangu Magufuli aingie madarakani ile style yake ya kuwaminya waliojaribu kuinunua shingo zao imeleta athari kubwa kwa Watanzania.
Sasa hakuna mtu tena wa kuweza kuipinga serikali kwa vitendo.
Watanzania wamepandikizwa woga.
Nakumbuka mkwara aliowapigia wanafunzi wa UDSM endapo wataandamana, naukumbuka mkwara aliopigwa Majaliwa endapo ndugu zake wataandamana.
Na kumbuka pale alipokuwa akitumia neno fyokofyoko akimaanisha uchochezi.
Watumishi walikuwa wapole kwa miaka yote 6 huku wakisubiri Mungu aongee na Rais juu ya hatma yao.
Hii hofu haitafutika hivi karibuni. Si mmeona tozo zilivyoingizwa kikatili ila wananchi wakaishia kulia mitandaoni tu.
Kama ninyi wa Tanzania mnamuona sio shujaa wanu Kuna wenzenu katika inch zingine wanamuita nabii Na wengine shujaa wa Afrika ila siwezi shangaa kwasababu nabii akubaliki kwao Na umuimu wake na fikiri amuwezi kuona kwa kipindi iki but Na amini katika kizazi kingine kijacho they Will call him nabii au shujaa like Thomas Sankara, Na wengine wengiHalafu kuna majinga humu yanamuita shujaa wa Africa
Hayo ni yako mtoa mada.. Kwangu mimi Hayati JPM anaishi.. Na Nabii aliyekuja kwetu kutufumbua macho na kutuonyesha kuwa watanzania tunaweza kuendeleza nchi yetu bila utegemezi wa nchi za magharibi.. Ni nabii aliyekuja kutufundisha umuhimu wa kufanya kazi na kuipenda nchi yetu.. Ni Nabii aliyekuja kwetu kutuonyesha kuwa watu wanaoishi kwa wizi wa ujanja ujanja wanadhibitika.. Ni Nabii aliyekuja kwetu kutufundisha jinsi Taasisi ya Urais inavyotakiwa kufanya kazi.. Na kama ilivyo ada, manabii wengi huwa hawaishi muda mrefu na jamii zao.. Kaongoza kipindi kimoja akitamani kumalizia kipindi cha pili, lakini mMwenyezi Mungu akamwambia kijana wangu inatosha.. Njoo upumzike.. Nasi tuliomuelewa tutamkumbuka daima.. Na jina lake litaishi vizazi hata vizazi...
Nchi ilifikia pabaya Sana kipindi chake
Kwani yeye Magu mwenyewe anasemaje huko motoni aliko?.Habari!
Kwakuwa jf ni huru sidhani kama uzi huu uliojaa mawazo huru usio na kejeli wala matusi sitarajii kwamba utafutwa.
Nikiulizwa Magufuli ameacha nini kwa Watanzania, pasi kupapasa nitajibu kuwa "Magufuli ameacha hofu kwa Watanzania, itachukua miaka mingi sana kuipndoa".
Watanzania katika serikali za awamu ya 1, 2,3 na 4 kidogo walikuwa watu wanaozifahamu haki zao na wakati mwingine walithubutu kuzidai kwa nguvu walipoona zinacheleweshwa na wenye mamlaka.
Ila tangu Magufuli aingie madarakani ile style yake ya kuwaminya waliojaribu kuinunua shingo zao imeleta athari kubwa kwa Watanzania.
Sasa hakuna mtu tena wa kuweza kuipinga serikali kwa vitendo.
Watanzania wamepandikizwa woga.
Nakumbuka mkwara aliowapigia wanafunzi wa UDSM endapo wataandamana, naukumbuka mkwara aliopigwa Majaliwa endapo ndugu zake wataandamana.
Na kumbuka pale alipokuwa akitumia neno fyokofyoko akimaanisha uchochezi.
Watumishi walikuwa wapole kwa miaka yote 6 huku wakisubiri Mungu aongee na Rais juu ya hatma yao.
Hii hofu haitafutika hivi karibuni. Si mmeona tozo zilivyoingizwa kikatili ila wananchi wakaishia kulia mitandaoni tu.
Kwa kweli akachomeke tu....Kwani yeye Magu mwenyewe anasemaje huko motoni aliko?.
Hujui chochote.. Unaandika kwa hisia zako za chuki tu.. Na sitakuambia chochote..Mwenyezi Mungu aliona watu wake wanateswa na mtu mmoja akaonelea ni kheri ampeleke motoni mapema ili waja wake wasiendelee kuteseka.
Huo ndio ukweli acheni mbwembwe za kijinga
Anawaomba msamaha watu ila too lateKwani yeye Magu mwenyewe anasemaje huko motoni aliko?.
Wewe kakuachia awareness juu ya kumsifia .Magufuli ameleta awareness kubwa sana kwa Watanzania juu ya mambo mengi yawahusuyo wao binafsi na taifa kwa ujumla.
Unaelewa maana ya awareness?Wewe kakuachia awareness juu ya kumsifia .
Unawajua watu wangapi waliofikishwa mahakamani KISA mitandao????
Bensanane ameuwa kisa kuichallenge PhD ya bwana mkubwa kwenye gazeti la raia mwema! Nikiangalia sana utagundua kwamba kweli yule hakuwa mtu mwenye PhD!
Tundu lisu alimiminiwa risasi kama kifaru aliyeua binadamu kumbe tu kutoa maoni mbadala juu ya madini. Sheria zilipitishwa bwana JPM akiwa wazir mwandamizi lakini hajawahi kuzipiga popote.
Gazeti la mawio, mwanahalisi na mengi yalifungiwa hulu yale ya bahari yetu na Tanzanite yakiachwa yatukane watu.
TBC ikawa rasmi tawi la chama
Alikuwa kiongozi mbaya yule
Wewe unaelewa ??? Unakuza vipi awareness huku unafungia vyombo vya habari na kutisha waandish ( kabendera?)Unaelewa maana ya awareness?
Unaelewa maana ya awareness?Wewe unaelewa ??? Unakuza vipi awareness huku unafungia vyombo vya habari na kutisha waandish ( kabendera?)
Unakuzaje hiyo awareness kwa kutunga sheria kandamizi za mitandao?
Unakuza awareness kwa kukataa bunge live?
Unakuza awareness kwa kupora watu korosho zao????
Labda wewe hukuwepo Tanzania na hujarudi nchini kushuhudia! Kutoka asubuhi ukirudi nyumbani salama jioni familia nzima wanashangilia! Kukicha salama utoke Tena ni furaha na wasiwasi, hawajui kama watakuona Tena! Lakini Mungu ni Fundi, akaliua kibudu pamoja na kujimwabafy kote Kule![emoji2][emoji2956]Katika awamu zote sita, hofu ilikuwa katika kiwango cha chini kabisa wakati wa Magufuli.
Asante sana. Umesema ukweli kabisa.Hofu kubwa ni alivyo imaliza Chadema kutoka kuwa chama cha Kitaifa na kubaki kuwa chama cha Mkoa wa Rukwa. Na kusaidia wabunge 18 kwa ajili ya kurekebisha mahusiano na nchi za nje.
Magufuli kiboko ila amefanya kazi nusu kwa miaka 5 ya kwanza, kwa kutubakizia Mbunge mmoja , awamu hii ilikuwa asafishe kweupe asibakize Mbunge hata mmoja wa Vibaraka wa Shoga Amsterdam.
Jiwe kwisha habari zakeTumaini jipya
Kaacha Wabambikiziwa kesi magerezaniHabari!
Kwakuwa jf ni huru sidhani kama uzi huu uliojaa mawazo huru usio na kejeli wala matusi sitarajii kwamba utafutwa.
Nikiulizwa Magufuli ameacha nini kwa Watanzania, pasi kupapasa nitajibu kuwa "Magufuli ameacha hofu kwa Watanzania, itachukua miaka mingi sana kuipndoa".
Watanzania katika serikali za awamu ya 1, 2,3 na 4 kidogo walikuwa watu wanaozifahamu haki zao na wakati mwingine walithubutu kuzidai kwa nguvu walipoona zinacheleweshwa na wenye mamlaka.
Ila tangu Magufuli aingie madarakani ile style yake ya kuwaminya waliojaribu kuinunua shingo zao imeleta athari kubwa kwa Watanzania.
Sasa hakuna mtu tena wa kuweza kuipinga serikali kwa vitendo.
Watanzania wamepandikizwa woga.
Nakumbuka mkwara aliowapigia wanafunzi wa UDSM endapo wataandamana, naukumbuka mkwara aliopigwa Majaliwa endapo ndugu zake wataandamana.
Na kumbuka pale alipokuwa akitumia neno fyokofyoko akimaanisha uchochezi.
Watumishi walikuwa wapole kwa miaka yote 6 huku wakisubiri Mungu aongee na Rais juu ya hatma yao.
Hii hofu haitafutika hivi karibuni. Si mmeona tozo zilivyoingizwa kikatili ila wananchi wakaishia kulia mitandaoni tu.