Nikiulizwa Magufuli ameacha nini kikubwa, nitasema kuwa Magufuli ameacha hofu kwa Watanzania

Uko sahihi.
Kuu zaidi watu wengi sana wameona umuhimu mkubwa na wa haraka wa nchi kuwa na KATIBA MPYA.
Mbowe anasema ukidai Katiba Mpya ni siasa zisizo za kistaarabu.

Ameamua kufanya siasa za kistaarabu baada ya kunywa chai ikulu na kupewa bahasha ya khaki. 😁
 
😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁
 
Alipoamrisha Tundu Lissu apigwe risasi akiwa kwenye kikao bungeni ndipo niliamini kuwa kiwango cha kichaa cha Magufuli kiko juu sana na alistahil kuwa Wodini Mirembe Hospital
 
It is totally INSANE kumshabikia mtu anaiba kura zote za Serikali za Mitaa mwaka 2019 na uchaguzi Mkuu wa 2020 na anaweka wabunge anaowataka yeye. Bado misukule yake kama St. Paka Mweusi inatujazia pumba humu.

Mtu MWONGO amayesema anajenga kwa kodi za ndani wakati anakopa, mtu anaysema hawezi kupeleka maendeleo kwenye majimbo yenye wabunge wa upinzani. Anayetumia raslimali za Taifa kujenga miundombinu mikubwa kama Airport kijijini kwake. Mwizi na muuaji ndiyo taswira ya Magufuli itakayobaki
 
Mbowe anasema ukidai Katiba Mpya ni siasa zisizo za kistaarabu.

Ameamua kufanya siasa za kistaarabu baada ya kunywa chai ikulu na kupewa bahasha ya khaki. [emoji16]
Mbowe ni mmoja tu katika Watanzania milioni 60, katiba mpya ni kwa ajili yetu wote tunaotaka nchi bora zaidi kesho kuliko hii ilivyo leo ni kwa ajili ya faida ya watoto na vizazi vyetu vingi vijavyo pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…