Nikivipi kusafiri kama kasi ya mwanga kunadhoofisha(kusimamisha)umri kwenda mbele..?

Nikivipi kusafiri kama kasi ya mwanga kunadhoofisha(kusimamisha)umri kwenda mbele..?

Mkuu Smart911 kwanza kudos.

Ila katika sayansi usiseme haiwezekani kusafiri kwa spidi ya mwanga. Inawezekana ni swala la muda tu na teknolojia inavyokua.

Nina uhakika kabisa kama ungemuuliza banu ya babu ya babu ya babu yangu mtemi Matugutu huko karne ya 9 kama inawezekana binadamu kusafiri kwa ndege angekataa. Ama umwambie kuwa unaweza kuwasiliana na mtu mwingine yuko mbali duniani kwa simu angekuona ni mrozi.

Ni hivi juzi tu watu walikua wanadhani sound barrier(mac4) haiwezi kuvunjwa ila tunashuhudia sasa hivi fighter jets zinavunja.
Dont say haiwezekani when it comes to science na evolution ya ubongo wa binadamu. Miaka millioni 100 ijayo jaribu kupata picha itakuwaje(ambayo hio ni michache kwenye universe ukilinganisha na hii bilioni 4.6tuliyopitia)
 
Kuhusu hapo alipoelezea mkuu boniuso ngoja nikupe mfano rahisi labda utapata mwanga.

Hicho kipimo chako cha moyo kufanya kazi unahesabu mapigo 72-100 kwa dakika(sekunde 60) at a certain space(point) in universe. Sasa fikiria huyo binadamu akaweza kumove kutoka space moja kwenda nyingine in universe(spacetime)in the same fabric. Sio kwa sekunde moja(ambayo ni mapigo 1.6.....) ila chukulia kwa millisecond au nanosecond huo moyo utadunda kwa mapigo kias gani(~aprox 0) hivo basi mtu anaweza akaenda katika space nyingine na kuexist na kurudi akiwa kapitisha muda(time) mrefu ila umri ule ule(age) kutokana na muda wa kuhama kutoka space moja kwenda nyingine kuwa ndogo mno kuweza kubadilisha umri.

Mfano wa pili. Katika dunia tu(same space) kuna uwezekano wa watu kutoka sehemu tofauti kuwa na birthday moja ila umri tofauti(kutokana na mzunguko wa dunia east na west) sasa pata picha mtu ambaye ana birthday moja na watu hao hao wawili walioko mabara tofauti na wakawa na umri tofauti at a certain point of time(their birthday eve for example). Sasa huyu mtu wa tatu tuseme hayuko mbali yupo hapo juu tu ISS(iko km 400 tu kutoka duniani) sasa mtu huyu aliondoka akiwa na umri sawa na wale jamaa wawili tayari wana umri tofauti katika siku hiyo. Hapo utajikuta una 3cariables tayari umri wa jamaa wa kwanza wa east atategemewa kutangulia kuwa mkubwa kwa namba ya miaka atafuatiwa na jamaa wa west. Na je yule aliyekua space station at that moment ana umri gani? Na je akitua east atakua na umri gani? Akitua west je?(kumbuka na kuzeeka kunachangiwa na functions za ubongo pia) na hili unaweza kulithibitisha hata kwa jet lagging tu pale unaposafiri na ndege kwenda west ya dunia huwa ubongo unahangaika kuadjust kuishi the same day in your life twice.

Sasa huo ni utangulizi(kwa huyu jamaa aliyekua 400km from earth surface. Fikiria sasa mtu huyu(teknolojia ikiwepo) aweze kusafiri zaidi ya km 400 kwenda huko mbali kwenye intergalactic planetary universe(kwa spidi ya mwanga) umbali atakaokuwepo ni hundreads million light years.

Hivyo basi akiweza kwenda na kurudi atawakuta wenzake wana umri mkubwa kuliko yeye. Hata kama kwake itakua ni blink of a second.

Duuuuh... sijui unanisoma?
Mada ni nzuri lakini ni ngumu kweli kweli, mkuu nimerudia post yako kama Mara tano nimepata picha lakini IPO kwenye negative inahitaji kusafishwa.
 
Mada ni nzuri lakini ni ngumu kweli kweli, mkuu nimerudia post yako kama Mara tano nimepata picha lakini IPO kwenye negative inahitaji kusafishwa.

Hahaaa hivo hivo mkuu. Hata mimi ilinichukua muda kuelewa. Fizikia sio mchezo
 
When the gravitational force is so strong time also tends to slow down, miller's planet jamaa walienda wakaspend masaa machache tu waliporudi wakakuta wenzao waliowaacha ni wazee tayari miaka ilipita almost 20 waliokoenda 2 seconds zilikuwa ni sawa na 20 hours walikotoka. Refer "interstellar" movie
he he! muda ni nini..?
 
Mkuu Smart911 kwanza kudos.

Ila katika sayansi usiseme haiwezekani kusafiri kwa spidi ya mwanga. Inawezekana ni swala la muda tu na teknolojia inavyokua.

Nina uhakika kabisa kama ungemuuliza banu ya babu ya babu ya babu yangu mtemi Matugutu huko karne ya 9 kama inawezekana binadamu kusafiri kwa ndege angekataa. Ama umwambie kuwa unaweza kuwasiliana na mtu mwingine yuko mbali duniani kwa simu angekuona ni mrozi.

Ni hivi juzi tu watu walikua wanadhani sound barrier(mac4) haiwezi kuvunjwa ila tunashuhudia sasa hivi fighter jets zinavunja.
Dont say haiwezekani when it comes to science na evolution ya ubongo wa binadamu. Miaka millioni 100 ijayo jaribu kupata picha itakuwaje(ambayo hio ni michache kwenye universe ukilinganisha na hii bilioni 4.6tuliyopitia)

Ipo Hivi:
Particle (that has rest mass) needs an infinite amount of energy to accelerate to the speed of light. when an object moves at this speed of light, its mass will become infinite. That's the reason why no object can move at the speed of or faster than the speed of light. The closer to the speed of light you get a particle, the more energy is required to go faster.


Kuhusu Sound Barrier break imewezakana kwa sababu,
The speed of light is much faster than the speed of sound. Sound moves at 343 metres per second (thats about 770 miles per hour!) The speed of light is a little trickier. In a vacuum it is roughly 300 000 000 metres per second (so nearly 900 000 times faster than sound!)


Kufikia the speed of light ni bado sana... ndiyo maana hata ukizungumzia kusafiri sayari za mbali wana count kwa kutumia light year... Speed Of light siyo mchezo.



cc: mahondaw
 
Ipo Hivi:
Particle (that has rest mass) needs an infinite amount of energy to accelerate to the speed of light. when an object moves at this speed of light, its mass will become infinite. That's the reason why no object can move at the speed of or faster than the speed of light. The closer to the speed of light you get a particle, the more energy is required to go faster.


Kuhusu Sound Barrier break imewezakana kwa sababu,
The speed of light is much faster than the speed of sound. Sound moves at 343 metres per second (thats about 770 miles per hour!) The speed of light is a little trickier. In a vacuum it is roughly 300 000 000 metres per second (so nearly 900 000 times faster than sound!)


Kufikia the speed of light ni bado sana... ndiyo maana hata ukizungumzia kusafiri sayari za mbali wana count kwa kutumia light year... Speed Of light siyo mchezo.



cc: mahondaw

Baelezeeee Baelezeeee babaa
Cc Smart911
 
thedaydreamer
Smart911
GeoMex
Wakuu hebu kwanza tuanzieni hapa muda ni nini..?
nataka mnijibu kadri ya vile mnavyoelewa kuwa muda ni nini


Ipo Hivi:

Muda unatokana na mabadiliko. Huwezi kuhesabu muda kama hauna mabadiliko. Dunia inahesabu masaa kwa sababu kuna mabadiliko. Mabadiliko yasingekuwapo pasingekuwapo na kitu kinachoitwa muda. Hayo mabadiliko ni kama mchana na usiku.

Aidha, muda unatofautiana kati ya desturi na desturi, mtu na mtu, kazi na kazi na kadhalika. Kwa mfano, kwa mtu alikufa kwake muda ni sifuri kwa sababu mwili wake hauna mabadiko ya aina yoyote kwa vigezo vya kiumbe hai.


cc: mahondaw
 
Ipo Hivi:

Muda unatokana na mabadiliko. Huwezi kuhesabu muda kama hauna mabadiliko. Dunia inahesabu masaa kwa sababu kuna mabadiliko. Mabadiliko yasingekuwapo pasingekuwapo na kitu kinachoitwa muda. Hayo mabadiliko ni kama mchana na usiku.

Aidha, muda unatofautiana kati ya desturi na desturi, mtu na mtu, kazi na kazi na kadhalika. Kwa mfano, kwa mtu alikufa kwake muda ni sifuri kwa sababu mwili wake hauna mabadiko ya aina yoyote kwa vigezo vya kiumbe hai.


cc: mahondaw
mkuu muda wala si mabadiliko! na unaweza kuhesabu mudahata kama hakuna matukio.. muda umetengenezwa na space naweza sema ni existance of space,kadri space inavyokuwepo ndivyo na muda unavyokuwepo. kinachotokea kwenye space ni actions na vitu kuexist lkn time ipo palepale,ukitaka kuharibu muda haribu space! sio uharibu matukio wala mabadiliko hizo ni action tu zinazo happen kwenye space
 
Ipo Hivi:
Particle (that has rest mass) needs an infinite amount of energy to accelerate to the speed of light. when an object moves at this speed of light, its mass will become infinite. That's the reason why no object can move at the speed of or faster than the speed of light. The closer to the speed of light you get a particle, the more energy is required to go faster.


Kuhusu Sound Barrier break imewezakana kwa sababu,
The speed of light is much faster than the speed of sound. Sound moves at 343 metres per second (thats about 770 miles per hour!) The speed of light is a little trickier. In a vacuum it is roughly 300 000 000 metres per second (so nearly 900 000 times faster than sound!)


Kufikia the speed of light ni bado sana... ndiyo maana hata ukizungumzia kusafiri sayari za mbali wana count kwa kutumia light year... Speed Of light siyo mchezo.



cc: mahondaw

Naelewa yote hayo.
Nilichisema ni kuwa hilo neno "haiwezekani" lifikirie upya. Naona umenielewa umetumia neno "bado sana"

With science hakuna haiwezekani. Ni swala la muda tu
 
mkuu muda wala si mabadiliko! na unaweza kuhesabu mudahata kama hakuna matukio.. muda umetengenezwa na space naweza sema ni existance of space,kadri space inavyokuwepo ndivyo na muda unavyokuwepo. kinachotokea kwenye space ni actions na vitu kuexist lkn time ipo palepale,ukitaka kuharibu muda haribu space! sio uharibu matukio wala mabadiliko hizo ni action tu zinazo happen kwenye space

Unaposema muda ni existence of space, siyo kwa asilimia zote. Space ni nini? Space ni muendelezo au uwepo wa eneo ambalo lipo wazi, halijafungamana na kitu chochote. Kuna kitu kinaitwa Black hole. In black hole time imasimama kabisa, there is no time, time doesn't exist... kuna maeneo mengine outer space huko time dosent exist kabisa. Hakuna mawio wala machwio, hakuna season zozote... hakuna time... there is no life.

Huwezi kuhesabu muda bila matukio. Ndiyo maana hata wazee wazama hizo walikuwa wanahesabu muda kwa kulinganisha na matukio... mingo.. mihula...


cc: mahondaw
 
Naelewa yote hayo.
Nilichisema ni kuwa hilo neno "haiwezekani" lifikirie upya. Naona umenielewa umetumia neno "bado sana"

With science hakuna haiwezekani. Ni swala la muda tu

Kwa speed of light bado sana ndugu... Speed of sound ishavunjwa na super sonic jumbo jets.

cc: mahondaw
 
Kwa speed of light bado sana ndugu... Speed of sound ishavunjwa na super sonic jumbo jets.

cc: mahondaw

Nadhani umenielewa sasa. Bado sana......lakini inawezekana mbeleni
Halafu mkuu. Super sonic so far ni Jet fighters na Concorde tu hakuna Jumbo(tembo/kubwa) jet yenye speed hio. Au nijulishe mojawap
 
Ipo Hivi:
Particle (that has rest mass) needs an infinite amount of energy to accelerate to the speed of light. when an object moves at this speed of light, its mass will become infinite. That's the reason why no object can move at the speed of or faster than the speed of light. The closer to the speed of light you get a particle, the more energy is required to go faster.


Kuhusu Sound Barrier break imewezakana kwa sababu,
The speed of light is much faster than the speed of sound. Sound moves at 343 metres per second (thats about 770 miles per hour!) The speed of light is a little trickier. In a vacuum it is roughly 300 000 000 metres per second (so nearly 900 000 times faster than sound!)


Kufikia the speed of light ni bado sana... ndiyo maana hata ukizungumzia kusafiri sayari za mbali wana count kwa kutumia light year... Speed Of light siyo mchezo.



cc: mahondaw
Nope... You explain according to Einstein theory of relativity which claims that nothing travel faster than the speed of light... and you know that theory is an acceptable assumptions with no proof... Now days even greatest living Physicist opposes Einstein theory of relativity to say nothing moves faster than light... If you had ever read The theory of ether... Heavily supported by Einstein's favorite Genius "Tesla " lonely greatest engineer and electrical engineer of all the time who claimed to have detected cosmic rays that travels with 1000's times the speed of light during his experiments of generating high power frequency and High voltages generation at Niagara Falls in US. Tesla had ability to harness more voltages from the space "ether" and he removed an oil engine to replace with Free radiant charged motor /engine which marked the beginning of electrical vehicles . But FBI and US saw Tesla would kill oil market and after Tesla death FBI took his inventions and patents to unauthorize Tesla ether theory. Here is where Einstein theory which in reality is 2D theory obeyed and practised till now. To say nothing moves faster than light you have to refer Einstein's theory... Otherwise it's not.
 
Nadhani umenielewa sasa. Bado sana......lakini inawezekana mbeleni
Halafu mkuu. Super sonic so far ni Jet fighters na Concorde tu hakuna Jumbo(tembo/kubwa) jet yenye speed hio. Au nijulishe mojawap

Super Sonic Boom aircraft ndugu.


cc: mahondaw
 
Hyperspace.jpg

Hii imekuwa ni moja kati ya dhana ambayo sijaielewa vizuri,iko hivi imekuwa ikisemekana kwamba mtu akiweza kusafiri kama speed ya mwanga unavyosafiri basi ataweza kudhoofisha/kusimamisha umri wake! means kama atasafiri kwa spidi ya mwanga akiwa na miaka 20 hata akirudi hapa duniani ikiwa imepita miaka 100 toka aondoke atarudi vilevile na miaka 20 bila kuzeeka!

sasa nachotaka mimi kujua ni nini kinaathiri mwili mpk umri usisonge..?
au ukisafiri kwa spidi ya mwanga nini kinatokea kwenye mwili mpk kusababisha umri usisonge..?

ni hicho ndicho nachokitakia ufumbuzi kwa anaejua anijuze ili nielewe,mengine tutaendelea kujuzana kadri mjadala utakavyokuwa

karibuni
ni kweli
kutokana na nazalia za kifizia na maswala ya anga katika nazalia hii inajumuisha sana nazalia yenye mada kubwa sana ambayo ni gravity:
mfano wa nazalia hii
1:black hole
hili ni sehemu ambayo ina nguvu sana katika anga kiujumla kwenye maswala ya nyota ya anga ina semakana kama utaweza kupita kwenye hilo shimo giza ni rahisi kupeleka miaka mbele au nyuma na wakati uliopo.hii inaweza kubeba nguvu kubwa mvutano na kunyonya kwa kasi hata mwanga ukipita na giza lote kuvutwa na mvutano.
2:revolution and rotation of star and planet
hii mada ndio inaumiza watu kichwa sana
mfano sayari yetu kuzunguka jua ina tumia siku 360 ili tupate mwaka na ndipo hapo mzunguko huweza kujua umri na wakati binadamu kuendelea nisitoke kwenye mada mnaweza kuzaliwa pamoja na wote mkawa na miaka 20 mfano mmoja wenu haka toka kwenye sayari na asiwe kwenye sayari yeye hata kuwa na mzunguko wowote kwa vile mvutano hutegemea hutembezi(spidi).
mfano mwengine kila sayari au nyota ina majuma na masiku.kama mtu anaishi duniani na mwengine anaishi marsi basi mnaweza kiumri hata kibinadamu muendelezo wa hukuaji mkatofautiana
thnk
 
Unaposema muda ni existence of space, siyo kwa asilimia zote. Space ni nini? Space ni muendelezo au uwepo wa eneo ambalo lipo wazi, halijafungamana na kitu chochote. Kuna kitu kinaitwa Black hole. In black hole time imasimama kabisa, there is no time, time doesn't exist... kuna maeneo mengine outer space huko time dosent exist kabisa. Hakuna mawio wala machwio, hakuna season zozote... hakuna time... there is no life.

Huwezi kuhesabu muda bila matukio. Ndiyo maana hata wazee wazama hizo walikuwa wanahesabu muda kwa kulinganisha na matukio... mingo.. mihula...


cc: mahondaw
badili unavyowaza jibu ni jepesi mno!
hivi kwenye vacuum hakuna muda..?
mkuu kama hakuna space hakuna muda,muda hautegemei tukio upo kwakuwa space ipo kitendo cha chumba kuwa tupu haimaanishi muda haupo kadri uhali wa existance unavyokuwepo ndio time ina be made.
usidanganywe na action zinazotokea hayo ni matendo tu but time inajitegemea think deep.
 
Hyperspace.jpg

Hii imekuwa ni moja kati ya dhana ambayo sijaielewa vizuri,iko hivi imekuwa ikisemekana kwamba mtu akiweza kusafiri kama speed ya mwanga unavyosafiri basi ataweza kudhoofisha/kusimamisha umri wake! means kama atasafiri kwa spidi ya mwanga akiwa na miaka 20 hata akirudi hapa duniani ikiwa imepita miaka 100 toka aondoke atarudi vilevile na miaka 20 bila kuzeeka!

sasa nachotaka mimi kujua ni nini kinaathiri mwili mpk umri usisonge..?
au ukisafiri kwa spidi ya mwanga nini kinatokea kwenye mwili mpk kusababisha umri usisonge..?

ni hicho ndicho nachokitakia ufumbuzi kwa anaejua anijuze ili nielewe,mengine tutaendelea kujuzana kadri mjadala utakavyokuwa

karibuni


Hakuna kitu kinachoweza kusafiri kwa mwendo mkubwa zaidi ya mwanga, usanii wote wa Einstein uko hapa, ukiweza kuthibitisha hili utaibaidilisha Dunia!
 
Hakuna kitu kinachoweza kusafiri kwa mwendo mkubwa zaidi ya mwanga, usanii wote wa Einstein uko hapa, ukiweza kuthibitisha hili utaibaidilisha Dunia!
sijazungumzia mwendo kuzidi kasi ya mwanga! soma tena uelewe
 
sijazungumzia mwendo kuzidi kasi ya mwanga! soma tena uelewe


Hata sawa na mwendo wa Mwanga kwa mujibu wa Msanii Einstein haiwezekani, ukitaka kufa jaribu kuthibitisha kinyume chake!
 
Back
Top Bottom