GeoMex
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 5,431
- 19,913
Mkuu Smart911 kwanza kudos.
Ila katika sayansi usiseme haiwezekani kusafiri kwa spidi ya mwanga. Inawezekana ni swala la muda tu na teknolojia inavyokua.
Nina uhakika kabisa kama ungemuuliza banu ya babu ya babu ya babu yangu mtemi Matugutu huko karne ya 9 kama inawezekana binadamu kusafiri kwa ndege angekataa. Ama umwambie kuwa unaweza kuwasiliana na mtu mwingine yuko mbali duniani kwa simu angekuona ni mrozi.
Ni hivi juzi tu watu walikua wanadhani sound barrier(mac4) haiwezi kuvunjwa ila tunashuhudia sasa hivi fighter jets zinavunja.
Dont say haiwezekani when it comes to science na evolution ya ubongo wa binadamu. Miaka millioni 100 ijayo jaribu kupata picha itakuwaje(ambayo hio ni michache kwenye universe ukilinganisha na hii bilioni 4.6tuliyopitia)
Ila katika sayansi usiseme haiwezekani kusafiri kwa spidi ya mwanga. Inawezekana ni swala la muda tu na teknolojia inavyokua.
Nina uhakika kabisa kama ungemuuliza banu ya babu ya babu ya babu yangu mtemi Matugutu huko karne ya 9 kama inawezekana binadamu kusafiri kwa ndege angekataa. Ama umwambie kuwa unaweza kuwasiliana na mtu mwingine yuko mbali duniani kwa simu angekuona ni mrozi.
Ni hivi juzi tu watu walikua wanadhani sound barrier(mac4) haiwezi kuvunjwa ila tunashuhudia sasa hivi fighter jets zinavunja.
Dont say haiwezekani when it comes to science na evolution ya ubongo wa binadamu. Miaka millioni 100 ijayo jaribu kupata picha itakuwaje(ambayo hio ni michache kwenye universe ukilinganisha na hii bilioni 4.6tuliyopitia)