Nikiwa Club na Demu wa kizungu

Nikiwa Club na Demu wa kizungu

So mlipokuwa mnapiga story alikuwa mnaelewana. Na alipokuwa anakwambia umchekie kinywaji mlikuwa mnaelewana pia ila ukashindwa kumwambia aStop? SMH [emoji16]. Hebu tafuta uwongo mwingine
 
Yamenikuta Jana hata sijui hawa jamaa wameumbwa vipi!!
Ilikuwa hivi kuna baridi kali sana huku sasa Jana nikaamua kwenda club !!

Mimi sio mlevi na uwa situmii pombe Kali uwa natumia maji sana sana nikiwa club !!

Basi kwa sababu ya baridi nikaamua nilipoingia nikaenda kujiegesha upande wa chumba chenye hot ice nikachili kwenye sofa nikaanza kunywa maji yangu!!

Baada ya muda wakaja mademu watatu ni Spanish Mama yao na wengine wawili wakakaa pembeni yangu !!

Tukaanza kuongea kuongea Mara wakaondoka akarudi yule mmoja peke yake akakaa kaitisha kinywaji akanza kunywa !!

Akaacha tena na kuniambia nimchekie ile chupa!!

Daaaah mi moyo ukaanza kunidunda kiasi nimekuja mwenyewe kwanini hata sikuja na mtu nikaanza kujiuliza maswali!!

But nikasema lolote na liwe hapa natoka Alfajiri!!

Akarudi tena nikaamuuliza wenzio wapo wapi ? Akajibu wameenda Kupumzika kwa hoteli !!

Nikasema ok poa kumbe anavyotoka anaenda kucheza mziki na anarudi anaendelea na kinywaji !!

Tukaanza story ok akanza kunielezea kuwa she is from Spain na wanasafiri kesho yake kurudi uko yaani Leo!

Hapo ilikuwa kama muda wa saa 9 usiku Demu akaanza kunisogelea kwenye ile sofa ,na Mimi nasogea mwisho, anaendelea kunisogelea na Mimi nasogea mwisho anasogea anasogeza na Meza mpaka nikafika mwisho nikagota !!

Nikiangalia kwa mbele kuna muhudumu anatuangalia !!

Ni kashindwa nimzuie vipi yule Demu maana hata nikimuongelesha kingereza aelewi vizuri !!

Akaanza kunifungua mkanda wa suluali yangu niliyokuwa nimevaa!!

Nikalegea nikaanza kumnyonya matiti akaregea nikaregea nikakumbuka sina kondom nikamuuliza wakati namuuliza ameshaanza kunyonya penis yangu!!

Nikamumwagia kwa mdomo

Tulipojielewa akaniambia tukalale kwa chumba chake pale hotelini nimelela uko tumefanya kila kitu na alinitoa leo asubuhi !!

Kinachonipa hofu sijatumia kondom kiukweli mambo ya Club ni magumu sana

Na hofu yangu mawasiliano ya hawa mademu wa kizungu uwa yanakuwa closer sana naona nikitibuana na Demu wangu !!

Ushauri wenu wakuu!!
Usiende night clubs na sehemu zingine
Za anasa bila kinga (condom).
Vipi mademu wa kidhungu watamu?
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
We jamaa ukija kuwa mkubwa utakuwa kama Ngugi wa Thiong'o.

Endeleza kipaji cha utungaji
 
haya tumejua umepiga mzungu aka kitimoto
 
Acha uoga wewe..wazungu hawanaga UKIMWI wewe.....shukuru walau umeosha nyota yako leo.
 
mkuu unajua wewe ni mtu mzima sana sasa hyo hofu unayoleta hapa wakat tayar ushamla haina faida yoyote maana kama mawasliano umeyatoa mwenyewe na huna ulazima a kujibu kama hutataka litokee
 
Back
Top Bottom