brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
subiri selection zenu za chuo bado wiki mbili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bondeni club ya wapi hiyo, bro?Niko bondeni mkuu
Ok, poa kapime ngomaJohannesburg
Acha kutunga ujinga wewe grow upSi wote kuna wanapenda kuliwa tu !!
We umezoea kuona watalii njoo najuu huku ule vitu
Usiende night clubs na sehemu zingineYamenikuta Jana hata sijui hawa jamaa wameumbwa vipi!!
Ilikuwa hivi kuna baridi kali sana huku sasa Jana nikaamua kwenda club !!
Mimi sio mlevi na uwa situmii pombe Kali uwa natumia maji sana sana nikiwa club !!
Basi kwa sababu ya baridi nikaamua nilipoingia nikaenda kujiegesha upande wa chumba chenye hot ice nikachili kwenye sofa nikaanza kunywa maji yangu!!
Baada ya muda wakaja mademu watatu ni Spanish Mama yao na wengine wawili wakakaa pembeni yangu !!
Tukaanza kuongea kuongea Mara wakaondoka akarudi yule mmoja peke yake akakaa kaitisha kinywaji akanza kunywa !!
Akaacha tena na kuniambia nimchekie ile chupa!!
Daaaah mi moyo ukaanza kunidunda kiasi nimekuja mwenyewe kwanini hata sikuja na mtu nikaanza kujiuliza maswali!!
But nikasema lolote na liwe hapa natoka Alfajiri!!
Akarudi tena nikaamuuliza wenzio wapo wapi ? Akajibu wameenda Kupumzika kwa hoteli !!
Nikasema ok poa kumbe anavyotoka anaenda kucheza mziki na anarudi anaendelea na kinywaji !!
Tukaanza story ok akanza kunielezea kuwa she is from Spain na wanasafiri kesho yake kurudi uko yaani Leo!
Hapo ilikuwa kama muda wa saa 9 usiku Demu akaanza kunisogelea kwenye ile sofa ,na Mimi nasogea mwisho, anaendelea kunisogelea na Mimi nasogea mwisho anasogea anasogeza na Meza mpaka nikafika mwisho nikagota !!
Nikiangalia kwa mbele kuna muhudumu anatuangalia !!
Ni kashindwa nimzuie vipi yule Demu maana hata nikimuongelesha kingereza aelewi vizuri !!
Akaanza kunifungua mkanda wa suluali yangu niliyokuwa nimevaa!!
Nikalegea nikaanza kumnyonya matiti akaregea nikaregea nikakumbuka sina kondom nikamuuliza wakati namuuliza ameshaanza kunyonya penis yangu!!
Nikamumwagia kwa mdomo
Tulipojielewa akaniambia tukalale kwa chumba chake pale hotelini nimelela uko tumefanya kila kitu na alinitoa leo asubuhi !!
Kinachonipa hofu sijatumia kondom kiukweli mambo ya Club ni magumu sana
Na hofu yangu mawasiliano ya hawa mademu wa kizungu uwa yanakuwa closer sana naona nikitibuana na Demu wangu !!
Ushauri wenu wakuu!!