Nikiwa Club na Demu wa kizungu

So mlipokuwa mnapiga story alikuwa mnaelewana. Na alipokuwa anakwambia umchekie kinywaji mlikuwa mnaelewana pia ila ukashindwa kumwambia aStop? SMH [emoji16]. Hebu tafuta uwongo mwingine
 
Usiende night clubs na sehemu zingine
Za anasa bila kinga (condom).
Vipi mademu wa kidhungu watamu?
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
We jamaa ukija kuwa mkubwa utakuwa kama Ngugi wa Thiong'o.

Endeleza kipaji cha utungaji
 
haya tumejua umepiga mzungu aka kitimoto
 
Acha uoga wewe..wazungu hawanaga UKIMWI wewe.....shukuru walau umeosha nyota yako leo.
 
mkuu unajua wewe ni mtu mzima sana sasa hyo hofu unayoleta hapa wakat tayar ushamla haina faida yoyote maana kama mawasliano umeyatoa mwenyewe na huna ulazima a kujibu kama hutataka litokee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…