johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wengine walisema ni miaka 100
Mh. Mbowe akasema ni wa "Milele"
Tundu Lisu amesema Yeye hajaona palipoandikwa miaka 100
Ndio nikakumbuka kiapo cha Ndoa za Wagalatia "alichounganisha Mungu Binadamu asikitenganishe"
Sasa kuna mzee mmoja Visiwa vya Ukerewe alimuacha mkewe wa Ndoa na Kanisa hilo hilo Takatifu la Mitume likampa Kibali cha kuoa mke mwingine.
Milele ni nini?
Mh. Mbowe akasema ni wa "Milele"
Tundu Lisu amesema Yeye hajaona palipoandikwa miaka 100
Ndio nikakumbuka kiapo cha Ndoa za Wagalatia "alichounganisha Mungu Binadamu asikitenganishe"
Sasa kuna mzee mmoja Visiwa vya Ukerewe alimuacha mkewe wa Ndoa na Kanisa hilo hilo Takatifu la Mitume likampa Kibali cha kuoa mke mwingine.
Milele ni nini?