Joselela
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 6,109
- 8,080
Si unakula kwa shemeji, endelea hivo hivo.Bandari imekusaidia nini tangu uzawa wako hapo ulipo ndani ya nchii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si unakula kwa shemeji, endelea hivo hivo.Bandari imekusaidia nini tangu uzawa wako hapo ulipo ndani ya nchii?
🤣🤣🤣🤣kijana una muda hata wa kumfikilia kiumbe shemejiiii.Si unakula kwa shemeji, endelea hivo hivo.
Kichwa bila akili ni adhabu kwa shingo!Bandari imekusaidia nini tangu uzawa wako hapo ulipo ndani ya nchii?
Ubongo wako upo sahihi.Kichwa bila akili ni adhabu kwa shingo!
Vile wanaamini WATANZANIA ni wale wale😠😡“Bandari yetu ipo Salama kutoweka kikomo cha uhinafsishaji haimaanishi ni muda mrefu” Spika wa BUNGEView attachment 2649817
Nakushangaa wewe mwanaume mzima kuwaza mikopo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kijana una muda hata wa kumfikilia kiumbe shemejiiii.
Kijana ungekuwa na ubongo wa upembuzi wala usingeshangaa mimi kuzungumzia mikopo ya TULIA TRUST. 🤣🤣🙏Nakushangaa wewe mwanaume mzima kuwaza mikopo
Huu ni zaidi ya upendo wa agape, watu ambao ukienda Zanzibar wanakubagua na kukutenga kwa kila namna na kukuita kafiri leo wanakupendelea kwa kila namna.Kosa kubwa la kiufundi ni mkataba huo kusainiwa na Wazanzibar pekee kisha hauhusu Bandari za Zanzibar.
Afu amekauka kauVile wanaamini WATANZANIA ni wale wale[emoji34][emoji35]
Huko kwenye kukauka sipoo🤣🤣Afu amekauka kau
Waliompa kibali (Cha michongo) Ni mapadre alio wahonga.Wengine walisema ni miaka 100
Mh. Mbowe akasema ni wa "Milele"
Tundu Lisu amesema Yeye hajaona palipoandikwa miaka 100
Ndio nikakumbuka kiapo cha Ndoa za Wagalatia "alichounganisha Mungu Binadamu asikitenganishe"
Sasa kuna mzee mmoja Visiwa vya Ukerewe alimuacha mkewe wa Ndoa na Kanisa hilo hilo Takatifu la Mitume likampa Kibali cha kuoa mke mwingine.
Milele ni nini?