Aspen,
You are very right and you seem to be trustworth,,,,,watu wanacheza na 40M nadhani ni kwa sababu tu wanatamka, hawana in hand,,,,ila najua for sure 40M inajenga Nyumba kali sana hapa dar,,,,
Wanao - comment kwamba haitoshi ni wale waliozoea kusimamia ujenzi wa Barabara na nyumba za Serikali na hivyo wanachakachua,,,
Mdau ukitaka kujenga wewe tafuta Archtect akutengenezee Ramani Standard,, tafuta fundi mwenyewe muweke Site, then kuwa na usimamizi wa Karibu,,,kwa kiasi fulani nimekubaliana ha hesabu za Aspen....Aspen kama wewe ni Mtaalam wa mambo ya ujenzi utafika mbali maana inaonekana ni mwaminifu