Nikiwa nae kwenye mahusiano mambo hayaendi kabisa

Nikiwa nae kwenye mahusiano mambo hayaendi kabisa

Kifulu

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2021
Posts
557
Reaction score
2,064
Wakuu naomba kuuliza ni nature ama vipi, Kuna huyu shemeji yenu nikiwa nae kwenye mahusiano serious mambo hayaendi kabisa

Maisha yanastuck changamoto zinajazana ila tukitengana maisha yanaenda(siwi na mwanamke mwingine)

Sasa kitu kinachoniuma ni kwamba anajitambua sana, ana hekima sana kifupi ni mwanamke Sahihi..

Ila tatizo ni hapo kama anakinuksi Fulani, waungwana wenye maarifa na ujuzi naombeni ufafanuzi
 
Change mind set kwa mambo ya kufikirika. Unaweza mpoteza mtu sahihi maishani kwa fikra za kusadikika. Hakuna uhusiano wowote wa mafanikio yako na uwepo wa mtu mwingine kwenye maisha yako
Safiii shukran sana kamanda
 
Upo sahihi kuna watu hata wanaume kwa wanaume tukipiga nao madili hamtoboi kivile, ila wengine tukipiga nao dili linaitika kinoma.
Hizi mambo zipo ila usiendekeze sana, pambana zaidi, badili mbinu, tumia akili zaidi, huyo manzi sio changamoto pekee ya kukuyumbisha.
 
Upo sahihi kuna watu hata wanaume kwa wanaume tukipiga nao madili hamtoboi kivile, ila wengine tukipiga nao dili linaitika kinoma.
Hizi mambo zipo ila usiendekeze sana, pambana zaidi, badili mbinu, tumia akili zaidi, huyo manzi sio changamoto pekee ya kukuyumbisha.
What happened?!
 
Wakuu naomba kuuliza ni nature ama vipi, Kuna huyu shemeji yenu nikiwa nae kwenye mahusiano serious mambo hayaendi kabisa

Maisha yanastuck changamoto zinajazana ila tukitengana maisha yanaenda(siwi na mwanamke mwingine)

Sasa kitu kinachoniuma ni kwamba anajitambua sana, ana hekima sana kifupi ni mwanamke Sahihi..

Ila tatizo ni hapo kama anakinuksi Fulani, waungwana wenye maarifa na ujuzi naombeni ufafanuzi
Watoto wadogo hawawezi kukuelewa,Wengi wamewekeza kwenye miili tu wanasahau Nafsi wakati kuitwa binadamu Ni mwili na Nafsi,

Nafsi za miili ya Binadamu zipo makundi 4 Maji,Udongo,Moto,na Upepo",

Ukiwa maji + Udongo mambo yanaenda
Ukiwa Moto + Upepo mambo yanaenda

tofauti na hapo Mfano Maji + Moto mambo hayaendi

Kwa kuhitimisha tu Kama We Ni mkristo nendeni kanisani kwa mchungajiKama we ni mwislam nendeni msikitini ufanyiwe dua mambo yatakuwa sawa bila kuachana".
 
Wakuu naomba kuuliza ni nature ama vipi, Kuna huyu shemeji yenu nikiwa nae kwenye mahusiano serious mambo hayaendi kabisa

Maisha yanastuck changamoto zinajazana ila tukitengana maisha yanaenda(siwi na mwanamke mwingine)

Sasa kitu kinachoniuma ni kwamba anajitambua sana, ana hekima sana kifupi ni mwanamke Sahihi..

Ila tatizo ni hapo kama anakinuksi Fulani, waungwana wenye maarifa na ujuzi naombeni ufafanuzi
Watoto wadogo hawawezi kukuelewa,Wengi wamewekeza kwenye miili tu wanasahau Nafsi wakati kuitwa binadamu Ni mwili na Nafsi,


Nafsi za miili ya Binadamu zipo makundi 4 Maji,Udongo,Moto,na Upepo",

Ukiwa maji + Udongo . yanaenda
Ukiwa Moto + Upepo mambo yanaenda

tofauti na hapo Mfano Maji + Moto mambo hayaendi

Kwa kuhitimisha tu Kama We Ni mkristo nendeni kanisani kwa mchungajiKama we ni mwislam nendeni msikitini ufanyiwe dua mambo yatakuwa sawa bila kuachana.
 
Wakuu naomba kuuliza ni nature ama vipi, Kuna huyu shemeji yenu nikiwa nae kwenye mahusiano serious mambo hayaendi kabisa

Maisha yanastuck changamoto zinajazana ila tukitengana maisha yanaenda(siwi na mwanamke mwingine)

Sasa kitu kinachoniuma ni kwamba anajitambua sana, ana hekima sana kifupi ni mwanamke Sahihi..

Ila tatizo ni hapo kama anakinuksi Fulani, waungwana wenye maarifa na ujuzi naombeni ufafanuzi
Wewe utakuwa unafikiri mkeo mchawi hakuna jingine.
Unaacha kufanya bidii ya kàzi unawaza ujinga.
 
Back
Top Bottom