Sawa mkuu, ila kujipata ni process si anaweza kuingia kwenye mahusiano na mtu mwingine au imekaajeChange mindset yako,ama jitoe kwenye majusiano ujitafute kwanza ukiisha kujipata ndipo umchukue kwenye dirisha dogo la usajili.
Nampenda 😃✋Uyo achana nae
Sasa unataka ushauri wa nin?Nampenda 😃✋
How to deal with her, nije nimuoeSasa unataka ushauri wa nin?
Change mind set kwa mambo ya kufikirika. Unaweza mpoteza mtu sahihi maishani kwa fikra za kusadikika. Hakuna uhusiano wowote wa mafanikio yako na uwepo wa mtu mwingine kwenye maisha yakoSawa mkuu, ila kujipata ni process si anaweza kuingia kwenye mahusiano na mtu mwingine au imekaaje
Safiii shukran sana kamandaChange mind set kwa mambo ya kufikirika. Unaweza mpoteza mtu sahihi maishani kwa fikra za kusadikika. Hakuna uhusiano wowote wa mafanikio yako na uwepo wa mtu mwingine kwenye maisha yako
Mwanaume unapenda dahNampenda 😃✋
Kwahiyo kilichokuleta nn? Kakue kwanzaNampenda 😃✋
What happened?!Upo sahihi kuna watu hata wanaume kwa wanaume tukipiga nao madili hamtoboi kivile, ila wengine tukipiga nao dili linaitika kinoma.
Hizi mambo zipo ila usiendekeze sana, pambana zaidi, badili mbinu, tumia akili zaidi, huyo manzi sio changamoto pekee ya kukuyumbisha.
Watoto wadogo hawawezi kukuelewa,Wengi wamewekeza kwenye miili tu wanasahau Nafsi wakati kuitwa binadamu Ni mwili na Nafsi,Wakuu naomba kuuliza ni nature ama vipi, Kuna huyu shemeji yenu nikiwa nae kwenye mahusiano serious mambo hayaendi kabisa
Maisha yanastuck changamoto zinajazana ila tukitengana maisha yanaenda(siwi na mwanamke mwingine)
Sasa kitu kinachoniuma ni kwamba anajitambua sana, ana hekima sana kifupi ni mwanamke Sahihi..
Ila tatizo ni hapo kama anakinuksi Fulani, waungwana wenye maarifa na ujuzi naombeni ufafanuzi
Watoto wadogo hawawezi kukuelewa,Wengi wamewekeza kwenye miili tu wanasahau Nafsi wakati kuitwa binadamu Ni mwili na Nafsi,Wakuu naomba kuuliza ni nature ama vipi, Kuna huyu shemeji yenu nikiwa nae kwenye mahusiano serious mambo hayaendi kabisa
Maisha yanastuck changamoto zinajazana ila tukitengana maisha yanaenda(siwi na mwanamke mwingine)
Sasa kitu kinachoniuma ni kwamba anajitambua sana, ana hekima sana kifupi ni mwanamke Sahihi..
Ila tatizo ni hapo kama anakinuksi Fulani, waungwana wenye maarifa na ujuzi naombeni ufafanuzi
Wewe utakuwa unafikiri mkeo mchawi hakuna jingine.Wakuu naomba kuuliza ni nature ama vipi, Kuna huyu shemeji yenu nikiwa nae kwenye mahusiano serious mambo hayaendi kabisa
Maisha yanastuck changamoto zinajazana ila tukitengana maisha yanaenda(siwi na mwanamke mwingine)
Sasa kitu kinachoniuma ni kwamba anajitambua sana, ana hekima sana kifupi ni mwanamke Sahihi..
Ila tatizo ni hapo kama anakinuksi Fulani, waungwana wenye maarifa na ujuzi naombeni ufafanuzi