Nikiwa nae kwenye mahusiano mambo hayaendi kabisa

Wee wacha ujingaaa....sasa hekima yake haileti ndalama huyo sio wife material. Piga chini
 
Piga chini shida iko wapi?

Ndio tabu ya kuwa na demu mmoja ukiwa nao 10 hukosi wife material hata watatu


Kuwa na demu mmoja ni ulemavu
 
PM nikupe ufumbuz na maarifa ya uyo Binti huenda sio nyota Yako kweny utafutaji
 
Madem wa hivyo wapo sana!ukimpa pesa unaishiwa Hadi utashangaa!ukilala nae ndio kabisa !hupati kitu!!muache kama Yusuf vile alivyotaka kufanya labda roho akuambie,usilazimishe!
 
Madem wa hivyo wapo sana!ukimpa pesa unaishiwa Hadi utashangaa!ukilala nae ndio kabisa !hupati kitu!!muache kama Yusuf vile alivyotaka kufanya labda roho akuambie,usilazimishe!
VIjana tunamaneno ya shombo sana kama tumekamilika vile kumbe walaaa
 
Weka sifa za maji, moto, udongo na upepo
 
VIjana tunamaneno ya shombo sana kama tumekamilika vile kumbe walaaa
Unafikiri uongo we jamaa!!Labda kama umeyaanza juzi au ulibahatika kupata mmoja mwenye Kismat!
Wala sio utani!hata baadhi ya sisi Me tuna hiyo kitu,unaweza tembea na dem ukampa majanga au ukampa promotion na akajipata!
 
Sio kweli, sababu sio huyo dada
 
Unafikiri uongo we jamaa!!Labda kama umeyaanza juzi au ulibahatika kupata mmoja mwenye Kismat!
Wala sio utani!hata baadhi ya sisi Me tuna hiyo kitu,unaweza tembea na dem ukampa majanga au ukampa promotion na akajipata!
Mm nizingatia nyota Kisha mahusiano yanafuata baadae
 
Acha UTAPELI

Toa ufumbuzi hapa kwa faida ya wote

Au unataka umuagize nazi na mayai biza??
Acha kuogopa mkuu niushauri tuu na Kuna vitu kama majina siku ya kuzaliwa mwezi n.k
 
Change mind set kwa mambo ya kufikirika. Unaweza mpoteza mtu sahihi maishani kwa fikra za kusadikika. Hakuna uhusiano wowote wa mafanikio yako na uwepo wa mtu mwingine kwenye maisha yako
Literaly hilo lipo but watu hawa pay antention to that . Ni mambo ya kiroho zaidi kuliko. you either lucky or not.
Hapo ni kuomba Mungu na kujaribu kutafuta the source, wengine wana historia chafu mno kabla hawajatulia
 
Hayo mambo yapo ,kuna mademu ukiwa nao ni nuksi ,mikosi ,magundu kwenda mbele.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…