Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Niwie rdhi nilitaka kukujibu kitambo nitapitiwa na haya mazonge ya diipii.. Nakuja mkuu wangu shaka ondoaMkuu nasubiri neno lako Mshana Jr
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niwie rdhi nilitaka kukujibu kitambo nitapitiwa na haya mazonge ya diipii.. Nakuja mkuu wangu shaka ondoaMkuu nasubiri neno lako Mshana Jr
Tafakari wema na ukuu MunguWakuu habari za majukumu,
Huwa ninafanya mazoezi, na kila baada ya mazoezi nakaa kitako, nafumba macho nikivuta hisia. Wakati huu napaswa kufikiria jambo gani
Naomba baada ya hapo utafute mahali tulivu penye ukimya na ufanyeWakuu habari za majukumu,
Huwa ninafanya mazoezi, na kila baada ya mazoezi nakaa kitako, nafumba macho nikivuta hisia. Wakati huu napaswa kufikiria jambo gani?
Update.
Nashukuru nimepata link. Meditation: Maana, njia na faida zake
Kuna wataalamu wameelezea vizuri zaidi kwenye comment.Wakuu habari za majukumu,
Huwa ninafanya mazoezi, na kila baada ya mazoezi nakaa kitako, nafumba macho nikivuta hisia. Wakati huu napaswa kufikiria jambo gani?
Update.
Nashukuru nimepata link. Meditation: Maana, njia na faida zake
Meditation ni urejeshaji wa akili inayotangatanga na kuiweka pamoja...hili kikiwezekana na unakuwa na nguvu kubwa ya kiroho itakayokufunulia mengi.. Roho hufunuka penye utulivu na ndio maana hata ndoto za maono hutokea usiku tulivuJe Kuna uhusiano wa mediation na ufunuo Mshana Jr. starlightz
hutakiwi kuwaza chochote , futa mawazo yote kichwani mwako , mawazo yawe formless kama maji yanavyobadilika umbo kulingana na chombo yanachokua ndani yakeWakuu habari za majukumu,
Huwa ninafanya mazoezi, na kila baada ya mazoezi nakaa kitako, nafumba macho nikivuta hisia. Wakati huu napaswa kufikiria jambo gani?
Update.
Nashukuru nimepata link. Meditation: Maana, njia na faida zake