Nikiwa nyumbani nitashindwa kufanya michongo kiufasaha

Hamna wachawi wa maendeleo kwa vijana kama ndgu wanaotaka urudi home kwa kigezo watakupa mtaji.

Ogopa sana hii kitu, bora uendelee kupiga deshi huko uliko kuliko kurudi nyumbani, home hutafanya chochote cha maana hutanunua vitu vyako, umri ukikutupa utaanza kugombea urithi wa baba yako, utaanza kuwalaumu kua walikufelisha. Ndgu achana nao kabisa aisee wanafelisha ili wakulaumu.
 
Kama unaona uchawiuchawi basi Bimkubwa wako ndiye anayekuroga. Kwa nini hataki ujinasue na uchawi-uchwi?
 
I got you thanks
 
Tofauti ya hapo nyumbani na kupanga siooni. Kama una elimu, itumie kujishughulisha, haijalishi uko wapi. Ukionesha nidhamu ya kazi, hata Mama yako atakuamini kuwabkijana wake umekua na kukuruhisi ujajitegemee popote utakapotaka kwenda.
 
N
Nenda kaka kwa dada zako mashemeji zako watakusaidia hao kaka zako ni vichomi hawana msaada na wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…