Nikiwa under any pressure napiga bao, tatizo ni nini?

Voltaire

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2013
Posts
1,231
Reaction score
1,189
Hello, huwa nikiwa mara nyingi kwenye mtihani alafu ticha akasema zimebaki dakika kumi na sijamaliza pepa huwa mapigo ya moyo huenda mbio alafu napiga bao.

Yani huwa nashindwa kujizuia kabisa na huwa nakosa nguvu kama vile nime sex kiukweli, nimekuja kugundua kwamba si nikwa kwenye mtihani tu hata nikiwa nawahi bus stendi alafu ticket nilishakata tangu jana, nikiona nachelewa na bus ntalikosa huwa hali kama hiyo hutokea pia.

Mwenye ufahamu na hii hali tafadhali anijuze tiba yake tafadhali!
 
Hiii kali ya mwaka sasa ukiajiliwa si utakuja kupiga bao wakati boss wako tena wa kike anakugombeza hujamaliza kazi
 
Haha kweli jf balaa tupu hapaishagi vituko, any way pole sana ngoja waje wataalamu wakupe ushauri
 
Hahahahaha! Sicheki kwa ubaya ...ila daah! Hii kali!
Anyways pole sana
 
Tatizo. Onana na psychologist au daktari wa afya ya akili
 

Ila hii nikawaida sana,hata mimi inanitokeaga,mwaka 2007 nikiwa nafanya Mock exam,nilipa bao mkuu
 
una abnormal hapo, fanya umuone mganga ....
 

Pole kaka, hiyo ni miongon mwa saikolojiko problems inayotokana na hofu/uoga na kupanik. Jitahid kuitune akili yako izoee hali kama hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…