Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Wanaogopa kutekwa, kutwaliwa na kupotezwa ama kumwagiwa tindikali. Chaajabu watekaji hujitambulisha wao ni akina nani, na wanakuwa na vifaa vya kutosha walioshiba, (watekaji ni vikosi vilivyo kamilika), hao wote uliowataja wamepitia shuruba mbalimbali ambazo zimewaongezea ujasiriKiukweli Siasa za Tanzania zinazidi kufubaa hasa kwa vijana wetu kama utalinganisha na enzi za akina Guninita
Sijui kwanini Vijana wetu wa Leo hawana Uwezo Kabisa wa Kujenga hoja zaidi ya kuropoka ropoka tu
Yaani Leo Lucas na Mchungaji Msigwa ndio tegemeo la CCM, Pambalu na Boni Yai ndio tegemeo la Chadema na yule aliyejiteka mh Nondo ndio tegemeo la ACT Wazalendo
Siasa za Bongo ziko ICU kwa kweli
Baadae Mlale Unono π
Kwani wewe huogopi?