Nikiweka billioni 5 UTT Amis napata gawio bei gani?

Nikiweka billioni 5 UTT Amis napata gawio bei gani?

Juice world

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2022
Posts
1,982
Reaction score
2,706
Wazee chukulia nina billion 5 kutoka kwenye biashara zangu mbalimbali.

Nimeona tangazo la UTT Amis kwamba wanagawa gawio zuri kwa mwaka ndio nikataka kuwauliza nyie rafiki zangu wa humu JamiiForums.

Je, hawa jamaa nikiweka pesa inakua salama? Nikiweka Bilioni 5 napata gawio Bei Gani Kila mwezi.

Nipo serious wazee sababu nimeona kama hii ni sehemu nzuri ya kuwekeza pesa zangu ninazozipata kwenye biashara zangu.
 
Ni upumbavu kuweka bilioni 5 UTT kwa faida ya asilimi 10 kwa mwaka kisa pesa yako iko na low risk, ni bora pesa hiyo ukanunua Bitcoin ambayo kila mwezi una uhakika kupata 20% mpaka 60% kama faida ya ongezeko la thamani ya bei ya bitcoin ambapo ukipiga faida ya mwaka tayari wewe ni billionare mara mbili au tatu ya pesa uliyowekeza kwenye crypto. Fungua ubongo wako vizuri achana na biashara zilizojaa usiasa Tanzania wajanja washahama huko.
 
Ni upumbavu kuweka bilioni 5 UTT kwa faida ya asilimi 10 kwa mwaka kisa pesa yako iko na low risk, ni bora pesa hiyo ukanunua Bitcoin ambayo kila mwezi una uhakika kupata 20% mpaka 60% kama faida ya ongezeko la thamani ya bei ya bitcoin ambapo ukipiga faida ya mwaka tayari wewe ni billionare mara mbili au tatu ya pesa uliyowekeza kwenye crypto. Fungua ubongo wako vizuri achana na biashara zilizojaa usiasa Tanzania wajanja washahama huko.
Bitcoin nayo is too risk,sio kila mtu anaweza kuvumilia "stress" za bear run zaidi ya miaka 2.......unashangaa bilioni 5 ghafla inakua milioni 900,unapanick unatoa kwa hasara
 
Ni upumbavu kuweka bilioni 5 UTT kwa faida ya asilimi 10 kwa mwaka kisa pesa yako iko na low risk, ni bora pesa hiyo ukanunua Bitcoin ambayo kila mwezi una uhakika kupata 20% mpaka 60% kama faida ya ongezeko la thamani ya bei ya bitcoin ambapo ukipiga faida ya mwaka tayari wewe ni billionare mara mbili au tatu ya pesa uliyowekeza kwenye crypto. Fungua ubongo wako vizuri achana na biashara zilizojaa usiasa Tanzania wajanja washahama huko.
We unafanya bitcoin au ushawahi fanya bitcoin? Acheni stori za kusadikika .
 
Bitcoin nayo is too risk,sio kila mtu anaweza kuvumilia "stress" za bear run zaidi ya miaka 2.......unashangaa bilioni 5 ghafla inakua milioni 900,unapanick unatoa kwa hasara
Naam, raisi wa el salvador na serikali yake walinunua bitcoinza usd milion 300, katika awamu 3 za milion 100 mzigo ukadrop kama mwaka hivi ukaja recover last two weeks kapost unasoma usd 600 million. Hapo kati kama haupo strong unaweza kua kichaa
 
Wazee nina billion 5 hapa ambazo ni kutoka kwenye biashara zangu mbalimbali.

Nimeona tangazo la UTT Amis kwamba wanagawa gawio zuri Kwa mwaka ndio nikataka kuwauliza nyie rafiki zangu wa humu JamiiForums.

Je, hawa jamaa nikiweka pesa inakua salama na je NIKIWEKA BILLIONI 5 napata gawio Bei Gani Kila mwezi.

Nipo serious wazee sababu nimeona kama hii ni sehemu nzuri ya kuwekeza pesa zangu ninazozipata kwenye biashara zangu
Wekeza BOT upate 15.9% ya 5 billion ambayo ni sawa na Tshs795,000,000 kila mwaka.
 
Fika sukari house posta..... sokoine drive, UTT-AMIS wana ofisi pale ni rahisi zaidi utapata kila taarifa uitakayo au kama upo nje ya dar es salaam fika tawi lolote la CRDB waeleze nia ya kujiunga na UTT-AMIS wana utaratibu watakupatia, good luck 👍
 
Back
Top Bottom