50mDuh kwa hiyo mil5 kwa mwezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
50mDuh kwa hiyo mil5 kwa mwezi
Yaan uwe na bilioni 5 uziwekw zote UTT ulizipata kwa urithi auWazee chukulia nina billion 5 kutoka kwenye biashara zangu mbalimbali.
Nimeona tangazo la UTT Amis kwamba wanagawa gawio zuri kwa mwaka ndio nikataka kuwauliza nyie rafiki zangu wa humu JamiiForums.
Je, hawa jamaa nikiweka pesa inakua salama? Nikiweka Bilioni 5 napata gawio Bei Gani Kila mwezi.
Nipo serious wazee sababu nimeona kama hii ni sehemu nzuri ya kuwekeza pesa zangu ninazozipata kwenye biashara zangu.
Kiuhalisia 100m atapata around 850k hadi 890k haitafika 1m.. itafika 1m akiweka around 118m au 120m100ml-1, 000,000/-pm.
Endelea nayo jawabu utapata
# case closed!
[emoji23][emoji23]Mbons hela nzuri hiyo. Mil 500 kwa mwaks sii unsgegeda mrembo mpya kila leo na chenchi inabaki
50mDuh kwa hiyo mil5 kwa mwezi
Kwa milion 500Duh kwa hiyo mil5 kwa mwezi
Twende zetu China tukavute Golden Dragon 4,,Zipige route ya Dodoma-Mwanza.Tuziweke wapi sasa wanandugu maana nategemea kula mkeka hapa wa mabilioni kutoka sportpesa [emoji41]
Hapo maisha ulishayapatia wee ni kula mbususus tuuuKwa milion 500
Balaaa hiyo....hapo nate ga mil 10 ya kula mbususu tuu.
UTT wenyewe hawana kiwango cha mtaji huo.Wazee chukulia nina billion 5 kutoka kwenye biashara zangu mbalimbali.
Nimeona tangazo la UTT Amis kwamba wanagawa gawio zuri kwa mwaka ndio nikataka kuwauliza nyie rafiki zangu wa humu JamiiForums.
Je, hawa jamaa nikiweka pesa inakua salama? Nikiweka Bilioni 5 napata gawio Bei Gani Kila mwezi.
Nipo serious wazee sababu nimeona kama hii ni sehemu nzuri ya kuwekeza pesa zangu ninazozipata kwenye biashara zangu.
kwa bahati nzuri, hautakuja kuzipata, kwa sababu ya mawazo yako mabaya.Balaaa hiyo....hapo nate ga mil 10 ya kula mbususu tuu.
10mil nakula serena kila siku
20mil kutaliii
10mil unawapa omba omba
Hadi unapata bilioni 5 umekosa akili za kuwafuata ofisini kwao ukawauliza?Wazee chukulia nina billion 5 kutoka kwenye biashara zangu mbalimbali.
Nimeona tangazo la UTT Amis kwamba wanagawa gawio zuri kwa mwaka ndio nikataka kuwauliza nyie rafiki zangu wa humu JamiiForums.
Je, hawa jamaa nikiweka pesa inakua salama? Nikiweka Bilioni 5 napata gawio Bei Gani Kila mwezi.
Nipo serious wazee sababu nimeona kama hii ni sehemu nzuri ya kuwekeza pesa zangu ninazozipata kwenye biashara zangu.
Wee jamaa pamoja na kwenda kanisani bado roho mbaya haijakutoka🤣🤣🤣🤣kwa bahati nzuri, hautakuja kuzipata, kwa sababu ya mawazo yako mabaya.
Kuwa serious mtaji wao ni trillion 1 tshUTT wenyewe hawana kiwango cha mtaji huo.
Fika sukari house posta..... sokoine drive, UTT-AMIS wana ofisi pale ni rahisi zaidi utapata kila taarifa uitakayo au kama upo nje ya dar es salaam fika tawi lolote la CRDB waeleze nia ya kujiunga na UTT-AMIS wana utaratibu watakupatia, good luck 👍
kwa mwezi utapata milion 50Wazee chukulia nina billion 5 kutoka kwenye biashara zangu mbalimbali.
Nimeona tangazo la UTT Amis kwamba wanagawa gawio zuri kwa mwaka ndio nikataka kuwauliza nyie rafiki zangu wa humu JamiiForums.
Je, hawa jamaa nikiweka pesa inakua salama? Nikiweka Bilioni 5 napata gawio Bei Gani Kila mwezi.
Nipo serious wazee sababu nimeona kama hii ni sehemu nzuri ya kuwekeza pesa zangu ninazozipata kwenye biashara zangu.
HAuko serious, mwenye 5B hawezi kuja kuuliza jfWazee chukulia nina billion 5 kutoka kwenye biashara zangu mbalimbali.
Nimeona tangazo la UTT Amis kwamba wanagawa gawio zuri kwa mwaka ndio nikataka kuwauliza nyie rafiki zangu wa humu JamiiForums.
Je, hawa jamaa nikiweka pesa inakua salama? Nikiweka Bilioni 5 napata gawio Bei Gani Kila mwezi.
Nipo serious wazee sababu nimeona kama hii ni sehemu nzuri ya kuwekeza pesa zangu ninazozipata kwenye biashara zangu.