Nikiweka billioni 5 UTT Amis napata gawio bei gani?

Yaan uwe na bilioni 5 uziwekw zote UTT ulizipata kwa urithi au
100ml-1, 000,000/-pm.
Endelea nayo jawabu utapata
# case closed!
Kiuhalisia 100m atapata around 850k hadi 890k haitafika 1m.. itafika 1m akiweka around 118m au 120m
 
Oya hiinwekeza ya mpesa vipi kweli asilimia 13 kwa mwaka?
 
UTT wenyewe hawana kiwango cha mtaji huo.
 
Balaaa hiyo....hapo nate ga mil 10 ya kula mbususu tuu.
10mil nakula serena kila siku
20mil kutaliii
10mil unawapa omba omba
kwa bahati nzuri, hautakuja kuzipata, kwa sababu ya mawazo yako mabaya.
 
Hadi unapata bilioni 5 umekosa akili za kuwafuata ofisini kwao ukawauliza?
 
kwa mwezi utapata milion 50
nikumbuke kaka
 
HAuko serious, mwenye 5B hawezi kuja kuuliza jf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…