dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
hizo bomba za umeme zitapasuka, na izo box zitaota kutu
mkuu unafikiria nini aisee ?
mkuu unafikiria nini aisee ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna shida, ila itakusumbua sana baadaye kwenye kusafisha mbolea ya binadamu itakayowekwa kwenye hiyo sakafu na vijana wa hovyoView attachment 3094747
Wakuu kwema naombeni ushauri, hilo ni pagale langu nimepiga plasta nimeweka grills na mageti bado sijahezeka ila ninampango wa kuhezeka mwakan nauliza niliweka rafu floor haitokua shida asanten
Nitatindua fundi kupaua alisema hakina shida na niliona baadh ya watu wakifanya hvi kama mimWire Kenchi itakuwaje na tayari umeshapiga plasta?
Au utaweka juu
Kama nikikaa mwaka mmoja Italian shida?Ukipiga kisha ukakaa mda mrefu inapaukapasuka kisha utarudia tena kupiga.
All the best
sijahezeka
Duh, hujui kabisa kuandika Kiswahili. Ongeza maarifa kidogo tu katika uandishi wako wa Kiswahilikuhezeka mwakan
Kumbe kunasehem wanagawa sement za bure?Ha ha ha... Ulipopata tu ile mifuko ya bure ya cement ukadhani ndo umeanza ujenzi. Basi na Paa weka la cement dogo.
HAPO SULUHISHO NI KATIBA MPYA TU.
Kikubwa nimeeleweka mkuu, wengine hatujasoma kama wwDuh, hujui kabisa kuandika Kiswahili. Ongeza maarifa kidogo tu katika uandishi wako wa Kiswahili
Naezeka mwakan kiongozi, pia ujenzi ni kama kumpa uji mtoto kila mmoja anastaili yake, hujaona wengine wanaanza France kabla ya nyumba?Na sijaelewa kwanini mdau anajenga nyumba kwa style ya kwenda nyuma kurudi mbele?
Yaani hajapaua yeye amepiga plaster still hajapaua anataka tena apige sakafu kwani mkuu raylin ni nini kinakufanya ukwepe kuweka paa?maana hapo unaenda kupata hasara ya plaster kama hujaezeka mapema.
na mimi nimewaza hivyo hivyo. Mwamba yupo vice versa.Kumbe inawezekana kuweka grill kabla ya kuezeka.....
Ila kwani kuna shida gani au ndo zikipigwa mvua italeta kutuna mimi nimewaza hivyo hivyo. Mwamba yupo vice versa.
hakuna shida ila kwa ujezi wa kudema dema zinaishia kuharibika tu na hali ya hewa ikiwa hakujaezekwa.Ila kwani kuna shida gani au ndo zikipigwa mvua italeta kutu
Inawezekana sana tu. Watu wengi ujenzi unatugharimu mno kwasababu ya kuigaKumbe inawezekana kuweka grill kabla ya kuezeka.....
ShukraniInawezekana sana tu. Watu wengi ujenzi unatugharimu mno kwasababu ya kuiga
Hapo inatakiwa ahakikishe anapiga plasta ya cement kali juu ya ukuta wa nyumba nzima ili mvua ikinyesha maji yasipate upenyo wa kuingia kwenye matofali vinginevyo plasta itakuja kuwa inabanduka vipande vipande au ukigonga gonga ukuta unatoa mlio unaoashiria kama kwa ndani pako waziIla kwani kuna shida gani au ndo zikipigwa mvua italeta kutu