Nikiweza kuvumilia Kuwa na body la hivi !! Nitaweka part

Nikiweza kuvumilia Kuwa na body la hivi !! Nitaweka part

Hypersonic WMD

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2024
Posts
1,337
Reaction score
1,876
Nina manyama uzembe sana ila nimeanza mazoezi atleast namm niwe na muonekano kidogo!!

Nikifika hapa Nawaalikeni part ya “ Mission completed”
 

Attachments

  • 95E797CC-2645-4399-BE68-901518746180.jpeg
    95E797CC-2645-4399-BE68-901518746180.jpeg
    281.5 KB · Views: 4
Kwann unaona vibaya !!
unaogopa attention
napendelea kuwa fit, kuliko kuwa na minguvu mingi

ujue wale navy special forces wa kule marekani, ambao wanatumika kwa mission ngumu za siri siri, hawana miili mikubwa, ni kwasababu kuweza kubeba vitu vizito pekee havisaidii inabidi wawe na stats zingine kama speed, stamina, endurance etc

sasa ukiwa kidari unapuuzia hizo nyanja nyingine zooote, sema kama unataka zile kiki za wadada ni sawa tu
 
napendelea kuwa fit, kuliko kuwa na minguvu mingi

ujue wale navy special forces wa kule marekani, ambao wanatumika kwa mission ngumu za siri siri, hawana miili mikubwa, ni kwasababu kuweza kubeba vitu vizito pekee havisaidii inabidi wawe na stats zingine kama speed, stamina, endurance etc

sasa ukiwa kidari unapuuzia hizo nyanja nyingine zooote, sema kama unataka zile kiki za wadada ni sawa tu
Unampango wa kufanya kazi ngumu za siri kama za navy special forces wa kule marekani?
 
Kwann unaona vibaya !!
unaogopa attention
Mtazame Chuck Norris mwenye miaka 84 mlinganishe na Arnold Schwarzenegger mwenye miaka 77.

Chuck yeye alikuwa mtu wa acrobatics na ana mikanda ya judo na michezo mingine kama miwili ila hakuwa na mwili mkubwa. Arnold yeye alikuwa mnyanyua vyuma.
 
Mtazame Chuck Norris mwenye miaka 84 mlinganishe na Arnold Schwarzenegger mwenye miaka 77.

Chuck yeye alikuwa mtu wa acrobatics na ana mikanda ya judo na michezo mingine kama miwili ila hakuwa na mwili mkubwa. Arnold yeye alikuwa mnyanyua vyuma.
lakin kuisha au kuzeeka haraka kuna factor nyingi ikiwa genetic pia
 
napendelea kuwa fit, kuliko kuwa na minguvu mingi

ujue wale navy special forces wa kule marekani, ambao wanatumika kwa mission ngumu za siri siri, hawana miili mikubwa, ni kwasababu kuweza kubeba vitu vizito pekee havisaidii inabidi wawe na stats zingine kama speed, stamina, endurance etc

sasa ukiwa kidari unapuuzia hizo nyanja nyingine zooote, sema kama unataka zile kiki za wadada ni sawa tu
Katika mazoezi hata ya ngumi mtu anakua ana chaguzi mbili ama awe na speed na precision (mfano Karate katika ngumi na calisthenics kwenye mazoezi) au awe na power (mfano boxing katika ngumi na weight lifting kwenye mazoezi)

Lakini kuna exceptions mfano Flex Wheeler, pamoja na mwili mkubwa lakini alikua na speed na flexibility mwingine ni Michael Jai White, Adama Traore kisha kuna watu wana miili lean lakini hawana speed wala precision mfano Kai Havertz, Mount n.k.

So mwili ni unavyoucondition.

Umetoa mfano wa jeshi la Marekani, lakini hilo jeshi linaongoza kwa kutumia steroids supplements ambazo zinampa mwili mkubwa na bado anakua na speed, flexibility na precision.

Chaguo ni lako, hamna kusingizia.
 
napendelea kuwa fit, kuliko kuwa na minguvu mingi

ujue wale navy special forces wa kule marekani, ambao wanatumika kwa mission ngumu za siri siri, hawana miili mikubwa, ni kwasababu kuweza kubeba vitu vizito pekee havisaidii inabidi wawe na stats zingine kama speed, stamina, endurance etc

sasa ukiwa kidari unapuuzia hizo nyanja nyingine zooote, sema kama unataka zile kiki za wadada ni sawa tu
Nataka za kuwalia watu
 
Katika mazoezi hata ya ngumi mtu anakua ana chaguzi mbili ama awe na speed na precision (mfano Karate katika ngumi na calisthenics kwenye mazoezi) au awe na power (mfano boxing katika ngumi na weight lifting kwenye mazoezi)

Lakini kuna exceptions mfano Flex Wheeler, pamoja na mwili mkubwa lakini alikua na speed na flexibility mwingine ni Michael Jai White, Adama Traore kisha kuna watu wana miili lean lakini hawana speed wala precision mfano Kai Havertz, Mount n.k.

So mwili ni unavyoucondition.

Umetoa mfano wa jeshi la Marekani, lakini hilo jeshi linaongoza kwa kutumia steroids supplements ambazo zinampa mwili mkubwa na bado anakua na speed, flexibility na precision.

Chaguo ni lako, hamna kusingizia.
Lakini yote kwa yote sipendi ule muonekano wa kuwa bulky aisee
 
Katika mazoezi hata ya ngumi mtu anakua ana chaguzi mbili ama awe na speed na precision (mfano Karate katika ngumi na calisthenics kwenye mazoezi) au awe na power (mfano boxing katika ngumi na weight lifting kwenye mazoezi)

Lakini kuna exceptions mfano Flex Wheeler, pamoja na mwili mkubwa lakini alikua na speed na flexibility mwingine ni Michael Jai White, Adama Traore kisha kuna watu wana miili lean lakini hawana speed wala precision mfano Kai Havertz, Mount n.k.

So mwili ni unavyoucondition.

Umetoa mfano wa jeshi la Marekani, lakini hilo jeshi linaongoza kwa kutumia steroids supplements ambazo zinampa mwili mkubwa na bado anakua na speed, flexibility na precision.

Chaguo ni lako, hamna kusingizia.
Michael Jai White ni balaa na nusu yule mwamba.

Kukuvunja kiuno ni sekunde tu.. Maana ana minguvu na ni mwepesi sana kwenye mapigano.

Karate za Red Square.
 
Mtazame Chuck Norris mwenye miaka 84 mlinganishe na Arnold Schwarzenegger mwenye miaka 77.

Chuck yeye alikuwa mtu wa acrobatics na ana mikanda ya judo na michezo mingine kama miwili ila hakuwa na mwili mkubwa. Arnold yeye alikuwa mnyanyua vyuma.
Van Damme tunamuweka wapi? Arnold alikua pro kwenye weight lifting Van Damme hakua pro huko ila alikua pro kwenye Karate.

Is it fine tukiwalinganisha Van Damme na Arnold au Van Damme na Chuck Norris?
 
Back
Top Bottom