Nikiziangalia Sura za Marehemu Gen. Musuguri, CDF Mstaafu Gen. Mabeyo na CDF wa sasa Gen. Mkunda naona ni za Kazi Kazi na Makamanda wa Kweli

mngony nishakuambia 2015 Hata nionyeshe hao wengine lini walipandishwa kuwa major general mpaka kuwa cdf
Kwa hiyo ndani ya mwaka tu akapandishwa tena ili kutengeneza mazingira ya kuwa Jenerali na CDF. Si ndio ujanjajanja wenyewe kuleta siasa jeshini. Wenye akili wanajua, Mwakibolwa ndio alikuwa anastahili. Jeshi halitaki siasa wala ukabila.
 
Kwa hiyo ndani ya mwaka tu akapandishwa tena ili kutengeneza mazingira ya kuwa Jenerali na CDF. Si ndio ujanjajanja wenyewe kuleta siasa jeshini. Wenye akili wanajua, Mwakibolwa ndio alikuwa anastahili. Jeshi halitaki siasa wala ukabila.
Mwamunyange alitokea Cheo gani, na mkunda alitokea cheo gani kabla ya kuwa cdf na walihudumu kwa miaka mingapi kabla ya kuwa cdf!?
 
Kwa hiyo ndani ya mwaka tu akapandishwa tena ili kutengeneza mazingira ya kuwa Jenerali na CDF. Si ndio ujanjajanja wenyewe kuleta siasa jeshini. Wenye akili wanajua, Mwakibolwa ndio alikuwa anastahili. Jeshi halitaki siasa wala ukabila.
Kikwete alipompandisha kuwa major general aliwekwa pia kama chief of millitary intelligence(mkuu wa intelligensia jeshini) kipindi ambacho yupo na mgogoro na kagame, kikwete pia alimbeba!?
 
Kwa hiyo ndani ya mwaka tu akapandishwa tena ili kutengeneza mazingira ya kuwa Jenerali na CDF. Si ndio ujanjajanja wenyewe kuleta siasa jeshini. Wenye akili wanajua, Mwakibolwa ndio alikuwa anastahili. Jeshi halitaki siasa wala ukabila.
Nitakusaidia, Mkunda mpaka 2021 alikuwa brigedia sasa hicho cheo cha major general na luten general amekipata lini na alikaa miaka mingapi mpaka kuwa CDF,
Vip mwamunyange mpaka 2006 alikuwa major general jkt, cheo cha luten general amekipata lini na amekaa mpaka lini kabla kuwa cdf.
 
Kwa hiyo ndani ya mwaka tu akapandishwa tena ili kutengeneza mazingira ya kuwa Jenerali na CDF. Si ndio ujanjajanja wenyewe kuleta siasa jeshini. Wenye akili wanajua, Mwakibolwa ndio alikuwa anastahili. Jeshi halitaki siasa wala ukabila.
Changamoto kubwa ya watu wa mitandaoni huwa mnadandia tu habari mnayoisikia bila kujua hiyo ni trusted resource au hearsay, na 90% ya habari hizo statics zinaonyesha huwa za uongo. Ndio maana ukiulizwa raja vyeo vyao hao wengine kabla ya kuwa ma CDF unaishia kubweka tu
 
Kwa hiyo ndani ya mwaka tu akapandishwa tena ili kutengeneza mazingira ya kuwa Jenerali na CDF. Si ndio ujanjajanja wenyewe kuleta siasa jeshini. Wenye akili wanajua, Mwakibolwa ndio alikuwa anastahili. Jeshi halitaki siasa wala ukabila.

Mbona huyu husemi amebebwa!? Wewe zumbu kuku, na hicho cheo cha brigedia fuatilia amekaa miaka mingapi tena njia rahisi ni akiwa anavishwa nishani hizo njshani za heshima wasifu huwa unasomwa kwa malayman kama wewe ambao Hamna access na taarifa sahihi.
 
Kwa hiyo ndani ya mwaka tu akapandishwa tena ili kutengeneza mazingira ya kuwa Jenerali na CDF. Si ndio ujanjajanja wenyewe kuleta siasa jeshini. Wenye akili wanajua, Mwakibolwa ndio alikuwa anastahili. Jeshi halitaki siasa wala ukabila.
Baada ya hapo nipe conclusion nano amebebwa kwa kuanzia hao watatu mkunda, mabeyo na mwamnyange ambao ndio currently, mabeyo hakuruka cheo chochote na ni cheo kimoja tu amekaa mda mfupi, mkunda na mwamunyange kuna vyeo wameruka
 
Kwa hiyo ndani ya mwaka tu akapandishwa tena ili kutengeneza mazingira ya kuwa Jenerali na CDF. Si ndio ujanjajanja wenyewe kuleta siasa jeshini. Wenye akili wanajua, Mwakibolwa ndio alikuwa anastahili. Jeshi halitaki siasa wala ukabila.
Kingine mabeyo mtu wa millitary intelligence kwao low profile ni kawaida na mwamunyange Toma JKT , mkumda toka ofisi ya millitary training Kati ya hizo short profile za hao watatu, nikimteua mabeyo kuwa CDF ni kumbeba
 
Kwa hiyo ndani ya mwaka tu akapandishwa tena ili kutengeneza mazingira ya kuwa Jenerali na CDF. Si ndio ujanjajanja wenyewe kuleta siasa jeshini. Wenye akili wanajua, Mwakibolwa ndio alikuwa anastahili. Jeshi halitaki siasa wala ukabila.
Na kingine we tabla lasa kupanda cheo hata viwili kwa siku Mona jeshini ni sawa sio ajabu, fuatilia medical doctors(MD) na marubani huwa wakimaliza mafunzo yao wanapandaje vyeo.
Sembuse mtu wa millitary intelligence aliyetoka kusuka ramani za kuwafurusha wapigaji wa M23
 
Kwa hiyo ndani ya mwaka tu akapandishwa tena ili kutengeneza mazingira ya kuwa Jenerali na CDF. Si ndio ujanjajanja wenyewe kuleta siasa jeshini. Wenye akili wanajua, Mwakibolwa ndio alikuwa anastahili. Jeshi halitaki siasa wala ukabila.
Na kama hujui Vita yeyote inapigwana na millitary intelligence hawa jeshini wanaitwa wachora ramani ya Vita watu kama mzee wetu mwakibolwa anapokea ramani utapiga hapa utatoka utaenda kupiga pale kutoka kwa watu wa millitary intelligence sema wewe zumbu kuku tabla lasa kichwa panzi huwezi kuelewa hivyo vitu unasubiri matango pori ya mitandaoni
 
Unajitahidi sana kutetea ila inaeleweka siasa haifai jeshini
 
Sawa sawa mtaalamu.
 
Muhammadi Ali alikuwa wakimwita 'pretty boy', wakisema kwa kumtizama muonekano, ye mwenyewe alikuwa anajiita 'pretty' lakini alikuwa anawapelekea moto wapinzani ulingoni hadi aibu.

Ugumu wa sura na uwezo wa kupigana havihusiani.
 
Vipi wakakinukishe kule kwenu? Maana yule tolu wenu anajidai jeuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…