King Mutesa
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 227
- 141
Aliacha sugu mwenye album 10 akarudi tena sembuse huyo mbisha ambaye hana hata album moja.
Nilichokiona humu watu wanajifanya wanajua Hip-Hop na wanashindwa kabisa kutofautisha kati ya Rapper na Mcee..
Namaliza kwakusema.
Kikwete akihamia Chadema, kamwe CCM hatutoikataa..
Slaa akihamia CCM kamwe Chadema hatutoikataa.
Shekhe akila kitimoto Uislamu hatutoukataa !
Padre akibaka kamwe Ukrsisto hatutoukataa !
Lakini wenye akili fupi wanalazimisha watu wakatae Vyama vyao na Dini zao kisa viongozi wameenda kinyume na maadali.
snipa
Bora aache kwani mziki wake haukui uko palepale..baadhi ya fans wake wanamtia ujinga na kujiona bonge la mwanamuziki na kuwavimbia hata kaka zake. .huyu hajaacha mziki ila mziki umemuacha yeye
Dabo, gwiji sio mtu anaejibugi, labda nkishamdiss hapa ndo ataweza kukujibu tofauti ya underground na mainstream, buh accordin to my point of view, nikki mbishi sio underground, nikki mbishi ni broke mainstream rapper coz anajulikana na watu wengi lakn tatizo lake ni kwamba hana hela.. angekua underground mn na ww dabo tusingekua tunamjua nikki.. mainstream ni ubepari, unahitaji kua na stamina ili uendelee kukaa hapo juu, nikki hana stamina ndo maana ameporomoka na ndo maana ana acha game, no sorry ndo maana game imemuacha..
Unaelewa nini kuhusu *underground Emcees*???
mosdef????? smh, eti mosdef.. anhaa umeniuliza naelewa nin, apparently sielwlewi chochote kuusu underground mc'z lakn i can differentiate btn underground n broke mainstream rappers..
unawezaje kutofautisha kati ya Underground Emcees na Broke mainstream rappers, wakat umesema huelewi chochote kuhusu *Underground Emcees*???
You are right display name.....the industry DMX has spoke about a lot of things,eminem alianza kutumia madawa coz alitaka kuacha music wakamlazimisha ndo akawachana kwenye Recovery
Unaelewa nini kuhusu *underground Emcees*???
Ngoja nkuulize kitu, rakim, common, mosdef, cannibus, talib kweli.. hao ni underground??? yani naomba majibu ya yes na no, na vimaelezo kidogo sana, usianze kunielezea mambo sjui shangazi sjui imepanda ikashuka
unawezaje kutofautisha kati ya Underground Emcees na Broke mainstream rappers, wakat umesema huelewi chochote kuhusu *Underground Emcees*???
mgumu_wa_ara MosDef kwa kuwasaidia tu, underground mc ni wale rappers wanaofanya muziki wa ghetto...beat ngumu,lyrics za kibabe na shule, chorus kavu yani hiphop ambayo haijakaa kwa ajili ya kuuza ipo kimtaa zaidi.
Ndio maana common ana tuzo but still anafahamika km underground hiphop mcee, Kendric pia yupo kwenye hii orodha ya underground mcs. Wenyewe wakitoboa wanasema wapo kwenye mainstream ya underground.
kwa hapa bongo mtu kama Fid anafanya underground, JCB, Darasa, Wakazi n.k
Duuu we jamaa kama mos def kweli aiseee
I love your mind
Hawa watu makelele mengi wakat hawqjui chochote kuhusu underground