Nikki Mbishi aamua kuacha Muziki Rasmi

Nikki Mbishi aamua kuacha Muziki Rasmi

Chie.. sasa we apo nimeongea na wewe? nmereply jamaa alichouliza, sansana labda nkuambie umesoma kitu kisichokuusu.. afu nmeandika kama alivokua akijibu maswali kule

Kuna kitu kisichomuhusu MTU humu?au ulitaka usifiwe?
 
Ts obvious
Hata ukimuuliza maana ya. Uwack am pretty sure hajui
Anyway ndo much knw walivyo

Jana nmepitia thread yote...nlichoona ni niggaz wanajifanya wanajua sana HIP-HOP wakat hawana hata clue na maana au misingi yote ya HIP-HOP..

Kuna much know mmoja hapo juu anakwambia kuna Fake Emcees na Real Emcees, asa kutakuwaje na FAKE EMCEES wakat tayari mtu ameshakuwa recognized kama EMCEE???
*maana ya EMCEE ni kubwa sana*

Unapozungumzia EMCEEING unakuwa unaangalia vitu vitatu MUHIMU
1. Rhyme scheme
2. Delivery
3. Word play

RAPPING inazalisha RAPPERS na EMCEEING inazalisha EMCEES (thats the difference)

Katika kitabu cha Stic.man yule mnyamwez wa DEAD PREZZ alisema ""A rapper is to an emcee what an average street fighter is to a trained martial artist. They are both fighters but the degree and depth of their skill is very different."
 
maarifa
 

Attachments

  • 1421008859362.jpg
    1421008859362.jpg
    7.9 KB · Views: 212
  • 1421008871249.jpg
    1421008871249.jpg
    18.1 KB · Views: 188
Jana nmepitia thread yote...nlichoona ni niggaz wanajifanya wanajua sana HIP-HOP wakat hawana hata clue na maana au misingi yote ya HIP-HOP..

Kuna much know mmoja hapo juu anakwambia kuna Fake Emcees na Real Emcees, asa kutakuwaje na FAKE EMCEES wakat tayari mtu ameshakuwa recognized kama EMCEE???
*maana ya EMCEE ni kubwa sana*

Unapozungumzia EMCEEING unakuwa unaangalia vitu vitatu MUHIMU
1. Rhyme scheme
2. Delivery
3. Word play

RAPPING inazalisha RAPPERS na EMCEEING inazalisha EMCEES (thats the difference)

Katika kitabu cha Stic.man yule mnyamwez wa DEAD PREZZ alisema ""A rapper is to an emcee what an average street fighter is to a trained martial artist. They are both fighters but the degree and depth of their skill is very different."

Kaka kuna sehem nimeongea vitu viwili
1st always wasioelewa hutuniasha vifua kama bata mzinga
2nd nimewauliza wanabisha wanajua hata unandishi Wa mashairi ya hiphop ukoje au wanashan kurap turn basi unakua Mc?
Nimeweka hadi link wajifunze lakini am sure no one followed them u know y because of greed and ego they think they knew much but kiuhalisia they know nothing that's y wanahisi hawawez kulearn tena
Ukiwauliza tofauti ya mainstream na underground wanakuambia hawapigi kwa media nikawauliza kwani Nikki mbishi hapigwi kwenye media?mbn bado ni mfumo handaki(underground)wakaleta taarab zao
Pia kuna link ya immortal technics anaongelea mainstream inaitwa message and the money is why real Nikki mbish does hakuna aliyefuatilia n yet wanakazana kubisha sa sijui wanabisha nn
Mi nachoweza kusema ni kwamba listerning is the best way to learn
Kama wana akili wanaweza kujifunza kitu kwenye hz comment otherwise waache wafe na umaskin wao Wa fikra
 
nasikia game nowadays gumu especially watu wa hiphop, huyo fid muziki wenyewe haumpi mafanikio, wanachofanya ni kupiga issue zingine kwa kutumia umaarufu wao. mf izzo ana saloons, mafuka ya nguo, ana nguo zake zote anaziuza kwa kutumia jina lake, ila muziki kama muziki, maybe wakina diamond
 
Kaka kuna sehem nimeongea vitu viwili
1st always wasioelewa hutuniasha vifua kama bata mzinga
2nd nimewauliza wanabisha wanajua hata unandishi Wa mashairi ya hiphop ukoje au wanashan kurap turn basi unakua Mc?
Nimeweka hadi link wajifunze lakini am sure no one followed them u know y because of greed and ego they think they knew much but kiuhalisia they know nothing that's y wanahisi hawawez kulearn tena
Ukiwauliza tofauti ya mainstream na underground wanakuambia hawapigi kwa media nikawauliza kwani Nikki mbishi hapigwi kwenye media?mbn bado ni mfumo handaki(underground)wakaleta taarab zao
Pia kuna link ya immortal technics anaongelea mainstream inaitwa message and the money is why real Nikki mbish does hakuna aliyefuatilia n yet wanakazana kubisha sa sijui wanabisha nn
Mi nachoweza kusema ni kwamba listerning is the best way to learn
Kama wana akili wanaweza kujifunza kitu kwenye hz comment otherwise waache wafe na umaskin wao Wa fikra

I sense ur feelings. Ila ukifatilia comments zangu kuna sehemu nimekuambia unaweza poteza nguvu, jitihada hadi maarifa kumpa mtu shule kumbe mind yake isharemaa. Na ujuavyo kumrudisha mremavu katika hali yake ya kawaida huitaji nguvu ya Mungu tu.
Unategemea nini mtu ka gugoo leo neno hip hop akakalili vya kukalili mwisho wasiku lazima awe kama yule shabiki wa mpira katika tangazo la Coke cola.
 
I sense ur feelings. Ila ukifatilia comments zangu kuna sehemu nimekuambia unaweza poteza nguvu, jitihada hadi maarifa kumpa mtu shule kumbe mind yake isharemaa. Na ujuavyo kumrudisha mremavu katika hali yake ya kawaida huitaji nguvu ya Mungu tu.
Unategemea nini mtu ka gugoo leo neno hip hop akakalili vya kukalili mwisho wasiku lazima awe kama yule shabiki wa mpira katika tangazo la Coke cola.

Ni kweli kaka
Nashukuru kwa ushauri mkui
 
Nyakati za mashaka hizi....
Jamaa aliua sana kwenye hii track alisema almost yote ambayo ningependa sema ndani ya verse tatu
Ni kati ya track nazoweza sikiliza nika replay all day long nikiwa free..
 
Jana nmepitia thread yote...nlichoona ni niggaz wanajifanya wanajua sana HIP-HOP wakat hawana hata clue na maana au misingi yote ya HIP-HOP..

Kuna much know mmoja hapo juu anakwambia kuna Fake Emcees na Real Emcees, asa kutakuwaje na FAKE EMCEES wakat tayari mtu ameshakuwa recognized kama EMCEE???
*maana ya EMCEE ni kubwa sana*

Unapozungumzia EMCEEING unakuwa unaangalia vitu vitatu MUHIMU
1. Rhyme scheme
2. Delivery
3. Word play

RAPPING inazalisha RAPPERS na EMCEEING inazalisha EMCEES (thats the difference)

Katika kitabu cha Stic.man yule mnyamwez wa DEAD PREZZ alisema ""A rapper is to an emcee what an average street fighter is to a trained martial artist. They are both fighters but the degree and depth of their skill is very different."

sasa we usichokielewa ni kipi jamaa kukwammbia kuwa kuna real&fake mc au unabisha tu.hapa bongo kuna fake mc kibao wala hawahitaji hata mdau wa hip hop kuwajua.ila cha ajabu daily wanajitangaza kuwa wao ni mc wakali na baaadhi ya media zinawataja kama mc.sasa mdau kulieleza hilo ndo unajifanya kuicriticize hoja yake aonekane yupo ama nini.
 
kama n kurup.. ANARAP SANAA,
ni mc gan bongo anayefikia uwezo wa nikki mbish?

JIBU N HAKUNAAAA
namkubal knoma...
 
Nikki ni kati ya wasanii wachache sana ambao wanajua kama alivyo.huyu jamaa anajua mziki sijaona.ila ufirauni unaofanywa na hawa wanajiita godfather wa bongo music ndo wanofanya kipaji chake kionekane sawa na wanaojiita wasanii huku hawajui lolote.tutakosa radha ya muziki aliotuzoesha kama kweli ameacha.
Nikki mbishi ni balaa.......................
 
"Those that smoke marijuana Wanna thank you father For making it grow internationally, They wanna thank you lord Even though police cut it down, Sometimes they burn it down But it grows again Thank you father ..... "
Lucky Dube - Rasta man Prayers


After Nikki Mbishi bongo hip hop industry cut-off, i see those who claim to be mcee's n die hard hip hop fans, they can't stop being hypocrisy by posting statuses hypocritically... Without saying truth from deep inside their hearts

By looking them third eyed you may identify it....

To be honest Mbishi Abdication was so easly n one night standing idea (matter of re-thinking twice)
at first i was thinking that mbishi decision could have to be sarcastic untill i realize it has been spreaded overall media(s) like plague

I had been a hip hop fan since fid q unaishi wapi, fid q naishi ghetto till now, n if those lengendaries were doing the same i don't know if Ujamaa Hip-hop Darasa n all Fidstyle Friday shows could have to exist.....

Am kinda waiting to see who's next to repudiate.......

No pun intended.
Snipa ushawahi kaa marekani mini,naona unagonga sana ngeli
 
Naujua mziki wa hiphop kuliko hata wewe unayejiona unaujua,mie sijaanza kufatilia mziki wa kina wiz khalifa,nimeanza kufatilia mziki tangia kina Master P wanaanza kutoa single,make say uh na na naaaaaaa,enzi hizo kina shaq oneil wanachana,enzi hizo kina nas wanatoa affirmative action 96' acha hate me now ya 1999,enzi hizo Naught By nature watoa OPP 1991 ,Xzibit bado hajulikani kabisa na wala hajatoa single yake ya paparazi.
Hahaa!!!! Amalinze mkongwe
 
Nikki mbishi ni miongoni mwa wasanii wachache wa HipHop wenye IQ kubwa na mwenye Maktaba kubwa ya Muziki kichwani mwake, pia ni Freestyl mcee aliyefanikiwa kutoka kama msanii wa kawaida na mwenye kuhimili Pande zote mbili kikamilifu.

Ukisikiliza nyimbo kama Nimezama, Kijusi, Afrika ya Leo, Utamaduni, Michepuko, kabla sijafa, serikali ni nani etc. utagundua kua jamaa anaongea vitu vyenye kuhitaji wakati mwingine kusikiliza zaid ya mara mbili kuelewa anachomaanisha, hii ni kwa sababu ya ustadi alionao katika kuandika mashai yake.

Ukija upande wa freestyle utagundua Nikki mbishi ni msanii anayeweza kutoa mitindo huru juu ya neno lolote utakalompatia kama topic na maelezo yote juu ya neno husika huyatoa si kwa mtindo uliozoeleka au ambao msikilizaji atauona ni mwepesi bali kwa ustadi makini na kukuacha mwenye furaha na kujifunza kitu kipya.

TATIZO linalo mgharimu nikki mbishi na wasanii wengine wa tamaduni muzuk ni Kukosa msimamo/kuwa vigeugeu na Hali ya kusema hawafanyi muziki wa biashara wakati huohuo wakihitaji faida kutokana na wakifanyacho.

Kwa wale wanaoohudhuria Kilinge si jambo jipya kusikia wana tamaduni music waki diss Clouds Fm wakati huohuo jion unaweza kumsikia akihojiwa tena Clouds hyo hyo inayombania, Mfano mzuri ni Nash Mcee, akiwa kilingeni unaweza sema jamaa hawez kusujudia clouds, lakini akiwa clouds utamuonea huruma kwa kujing'ata ng'ata.

Nahitimisha kwa kusema nikki mbishi anajua sana, sometym ubishi wake unamuangusha
Hivi Kilinge bado kipo????
 
Kwani alikuwa mwanamuziki au alibahatika tuu kuongea kwa kutumia beat
 
Back
Top Bottom