Nikki Mbishi Amvaa Salama Jabir

Nikki Mbishi Amvaa Salama Jabir

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Licha ya kuwa Salama Jabir ni kati ya watangazaji wachache wenye mvuto na waledi kwenye career yake hiyo, Msanii wa hip hop, Nikki mbishi, amemvaa Mtangazi huyo mwenye hulka ya ki tomboy na kumwambia kuwa vipindi vyake karibia vyote huwa anawahoji wasanii ambao ni washkaji zake, akatolea mfano baadhi ya vipindi ambavyo alikuwa anawahoji wasanii wale wale ....

Ila nadhani Hata mimi nimegundua hiki kitu, Salama ana wasanii wake ambao huwa anapenda sana kufanya nao enterview mara kwa mara ambao mara nyingi ni washkaji Zake pia, kitu ambacho kinafanya wasanii wengine wakose kung’aa kwenye vipindi vyake vya Tv.

Wasanii kama akina Idris, Lulu, Mwana Fa, Fid q, wema , Irene uwoya, barnaba na baadhi ya mastaa
 
Kipindi ni chake halafu mnataka alete watu hasiopatana nao halafu aongee nao nini, hii ni biashara na sio charity group.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hao asiopatana nao kumbuka wana mashabiki wengi pia ambao wangependa kuwasikia.,.. that’s not a professional at all , kazi has nothing to do with personal matters ...
 
Nikki Mbishi ana beef na Salama don't like Nikki Mbishi. Dogo anajikuta mjuaji Sana..
ujue duniani ukishakuwa mzee wa on sport hakuna atakaekupenda hivyo binafsi kwa baadhi ya Mambo na msapoti likiwemo na hili. Sasa kwanini salama asingeamua kipindi kipewe jina la salama na rafiki
 
Hii ndio sababu Nikki atagombana na kila mtu..jamaa yuko too real. Kama mtu anakosea anamchana hapo hapo, kama hapendi kitu anasema hapendi (hata akipenda kitu anasema mana haters wanaweza kusema jamaa anapenda negativity, mfano jana ka post Instagram yake anaimba wimbo wa Foby, ibranation na caren halafu akausifia na kuwa tag)
Shida wabongo wengi wanafiki, hatupendi ukweli
 
Hao asiopatana nao kumbuka wana mashabiki wengi pia ambao wangependa kuwasikia.,.. that’s not a professional at all , kazi has nothing to do with personal matters ...
Huenda anaowahoji ndiyo anaowaona watamletea matangazo. Hakuna mtu anafanya charity kila mtu ana target yake. Ni sawa leo mtu aanze mlazimisha Nikki Mbishi aandike kuhusu topic flani...
 
Hii ndio sababu Nikki atagombana na kila mtu..jamaa yuko too real. Kama mtu anakosea anamchana hapo hapo, kama hapendi kitu anasema hapendi (hata akipenda kitu anasema mana haters wanaweza kusema jamaa anapenda negativity, mfano jana ka post Instagram yake anaimba wimbo wa Foby, ibranation na caren halafu akausifia na kuwa tag)
Shida wabongo wengi wanafiki, hatupendi ukweli
Sio real ila ana stress na anajiona yeye ni perfect. Kuwa real haimaanishi ujifanye unajua kila kitu wengine wote wanakosea kasoro wewe tu. Jamaa ana stress tu yule. Ila nakubari ngoma zake kama nyakati za mashaka that is my favourite kutoka kwake.
 
Hii ndio sababu Nikki atagombana na kila mtu..jamaa yuko too real. Kama mtu anakosea anamchana hapo hapo, kama hapendi kitu anasema hapendi (hata akipenda kitu anasema mana haters wanaweza kusema jamaa anapenda negativity, mfano jana ka post Instagram yake anaimba wimbo wa Foby, ibranation na caren halafu akausifia na kuwa tag)
Shida wabongo wengi wanafiki, hatupendi ukweli
Hayo ni mambo ya kizee na kikoloni..wazee WA zamani ndio walikuwaga na mitkasi kama hiyo. Kwamba hawakopeshi or something.

Vijana hatuishi hivyo.

The life is all about being smart and not being real.
 
Malalamiko mengi is what you can do best
Eti show unaekwa pending, pending for what?
Kila ukipewa unaboronga you ain't ready for that.....

#Unju hakuwaga boya unaaibisha kizazi
ujue duniani ukishakuwa mzee wa on sport hakuna atakaekupenda hivyo binafsi kwa baadhi ya Mambo na msapoti likiwemo na hili. Sasa kwanini salama asingeamua kipindi kipewe jina la salama na rafiki

Basi tusimlaumu Salama Kwa kutokumpenda Nikki Kwa sababu Nikki mwenyewe ameamua kutokupendwa..

Kanuni ya asili kabisa ya maisha inasema " Ukitaka watu wakuchukie basi waambie ukweli "

Nikki anaijua kanuni hii na anawaambia watu ukweli so watu hao kumchukia is a natural reaction. Hatakiwi kushangaa
 
Back
Top Bottom