Nikki Mbishi Amvaa Salama Jabir

Nikki Mbishi Amvaa Salama Jabir

Kwenye introduction ya kipindi huwa anatamka kwamba anao wahoji ni marafiki zake, so kipindi ni Salama na marafiki zake.

Sasa kama Nikki Mbishi siyo rafiki, hawezi kutokea.

Labda kama Salama angesema ni kipindi kwa ajili ya wote halafu akaita marafiki zake tu ndo ingekuwa kakosea, otherwise maudhui ya kipindi yanaendana na anaowaita.
 
Kwenye introduction ya kipindi huwa anatamka kwamba anao wahoji ni marafiki zake, so kipindi ni Salama na marafiki zake.

Sasa kama Nikki Mbishi siyo rafiki, hawezi kutokea.

Labda kama Salama angesema ni kipindi kwa ajili ya wote halafu akaita marafiki zake tu ndo ingekuwa kakosea, otherwise maudhui ya kipindi yanaendana na anaowaita.

Ndio maana kipindi kimedoda, atleast mkasi kilikua juu , aendelee kupiga story na mashoga zake , marafiki hao kwio mxieew
 
Licha ya kuwa Salama Jabir ni kati ya watangazaji wachache wenye mvuto na waledi kwenye career yake hiyo, Msanii wa hip hop, Nikki mbishi, amemvaa Mtangazi huyo mwenye hulka ya ki tomboy na kumwambia kuwa vipindi vyake karibia vyote huwa anawahoji wasanii ambao ni washkaji zake, akatolea mfano baadhi ya vipindi ambavyo alikuwa anawahoji wasanii wale wale ....

Ila nadhani Hata mimi nimegundua hiki kitu, Salama ana wasanii wake ambao huwa anapenda sana kufanya nao enterview mara kwa mara ambao mara nyingi ni washkaji Zake pia, kitu ambacho kinafanya wasanii wengine wakose kung’aa kwenye vipindi vyake vya Tv.

Wasanii kama akina Idris, Lulu, Mwana Fa, Fid q, wema , Irene uwoya, barnaba na baadhi ya mastaa


!
!
Kuna Ukweli Mwingi Sana Katika Hilo
 
Unju anapotea kwanza vipi ile offer aliotoa WAKAZI ya kubet hela zake zote kwa KADO naona anataka kutusahurisha anamuogopa KADO unju.
 
Kipindi cha Salama wanahojiwa watu maarufu na watakaoleta impact kibiashara maana kipindi kina matangazo na pia kinaruka live kwenye all platforms ikiwepo apple , spotify , audiomack n.k
Sasa mwenye kipindi anahoji watu ambao yeye anaona wana impact kwenye biashara yake na lazima anakuwa ametarget specific audience,
Sasa huyo Niki Mbishi inabidi ahojiwe na shilawadu, sizi kitaa na refresh kwasababu contents zake zinatosha huko asilazimishe kuhojiwa na Salama
Leo kidogo nimemuelewa Nikki mbishi hoja yake Ni kwamba salama anahoji watu wake wa karibu badala ya kuiangalia watu wengine ambao ni maarufu lakini hawana ukaribu na salama
 
Leo kidogo nimemuelewa Nikki mbishi hoja yake Ni kwamba salama anahoji watu wake wa karibu badala ya kuiangalia watu wengine ambao ni maarufu lakini hawana ukaribu na salama

Yeah akumbuke it’s not about her, it’s about mashabiki, sasa kama akitaka kupiga story na marafiki zake akapigie nyumban kwake na asituonyeshe kwa Tv
 
Licha ya kuwa Salama Jabir ni kati ya watangazaji wachache wenye mvuto na waledi kwenye career yake hiyo, Msanii wa hip hop, Nikki mbishi, amemvaa Mtangazi huyo mwenye hulka ya ki tomboy na kumwambia kuwa vipindi vyake karibia vyote huwa anawahoji wasanii ambao ni washkaji zake, akatolea mfano baadhi ya vipindi ambavyo alikuwa anawahoji wasanii wale wale ....

Ila nadhani Hata mimi nimegundua hiki kitu, Salama ana wasanii wake ambao huwa anapenda sana kufanya nao enterview mara kwa mara ambao mara nyingi ni washkaji Zake pia, kitu ambacho kinafanya wasanii wengine wakose kung’aa kwenye vipindi vyake vya Tv.

Wasanii kama akina Idris, Lulu, Mwana Fa, Fid q, wema , Irene uwoya, barnaba na baadhi ya mastaa
warumi nakuunga mkono kwa asimilia 💯 pamoja na kwamba Nikki mbishi Ni mtu wa malalamiko lakini hoja yake hii inamashiko salama anatakiwa ajue ili kutanua kipindi Chake anapaswa asijikite Pekee kuhoji washikaji wake pia na wengine ambao si washikaji wake tofauti na hapo atakuwa Kama anafanya group charity na si biashara.
 
Kwani kuna vipindi vingapi ukiacha cha salama akahojiwe huko
 
Halafu huwa namfananisha na Ellen pia, salama she is so smart , yule hakutakiwa kuwa bongo sema basi tu , Tatizo ana deal sana na only Top celebrities ambao nj mashoga zake, ila kana IQ kubwa sana na kana communication skills nzuri , Sijui kalisomag wapi , kwa hapa bongo sijaona wa calibre yake
Salama anamuiga sana Ellen, i love them both, ila sasa kuna vingine ambavyo wala havihitaji mtaji wala nini ni ubunifu tu Ellen anampita Salama au Salama amegoma kuviiga kwa Ellen,

Salama Na (hapa anaangalia upepo unapoenda anapita nao), muhimu alenge vijana, wahenga, wake kwa waume.
 
Halafu huwa namfananisha na Ellen pia, salama she is so smart , yule hakutakiwa kuwa bongo sema basi tu , Tatizo ana deal sana na only Top celebrities ambao nj mashoga zake, ila kana IQ kubwa sana na kana communication skills nzuri , Sijui kalisomag wapi , kwa hapa bongo sijaona wa calibre yake

Ooh kuhusu IQ kubwa, lesbians tuna Iq kubwa na communication skills nzuri,

Nazungumzia real lesbians sio hao wanaoiga.
 
Ooh kuhusu IQ kubwa, lesbians tuna Iq kubwa na communication skills nzuri,

Nazungumzia real lesbians sio hao wanaoiga.

Hata Gays pia wako hivyo, wengi ni wabunifu na wenye vipaji vya kutisha, pia wengi wao ni matajiri wa kutisha especially wale walio kwenye tasnia za sanaa ; Uigizaji, muziki, utangazaji, u modo n.k . Watu wa aina hiyo wengi huwa na vipaji vya kutisha, Sijui kuna siri gani nyuma ya pazia
 
Hata Gays pia wako hivyo, wengi ni wabunifu na wenye vipaji vya kutisha, pia wengi wao ni matajiri wa kutisha especially wale walio kwenye tasnia za sanaa ; Uigizaji, muziki, utangazaji, u modo n.k . Watu wa aina hiyo wengi huwa na vipaji vya kutisha, Sijui kuna siri gani nyuma ya pazia
Upo sahihi kabisa, kikubwa tunafatisha vipaji vyetu na tunavitumikia kwa moyo wote, hatuna marafiki wengi, hatupendi sana kujichanganya na watu, tupo selective na watu wa kua nao karibu,

Hatupendi kuharibu kitu ili baadae walimwengu wapate cha kuongea, tupo judged na jamii hii inafanya tufocus kwenye jambo tunalofanya ili kuwa prove wrong haters,

Tuna huruma na tunapenda kusaidia, waelewa, wenye busara na akili.

that's us [emoji304][emoji304]
 
Back
Top Bottom