Nikki Mbishi Amvaa Salama Jabir

Nikki Mbishi Amvaa Salama Jabir

Dah afu mi najuaga mko serious... Kumbe mnafanyaga makusudi mchekeshe
Sana tu.
Mtu anaenda pale kumsindikiza rafiki yake ambae ndie muimbaji halafu yeye anachukua namba anafika anafanya vituko anaondoka,we angali utaona yanikama kuna watu wametumwa .
 
Chukulia amlete TID, mwingine shishi ambae huwa anakuja na maswali anayopenda kuulizwa!
 
Ahahah hatar...

Not necessary Nick mbishi, ajaribu basi kuwafukiria na wengine kidogo , italeta Radha ya kipindi kidogo
Basi huyo Salama yuko juu sana, maana watu wasiopata nafasi ya kuhojiwa katika kipindi chake wanalalamika.

ila vipindi vipo vingi na katika Channels Tofauti tofauti iwe ni ONLINE MEDIA (internet) au TRADITIONAL BROADCASTING MEDIA (TV, Radio)

sio lazma kila MTU ahojiwe na Salama.

Ukiona kipindi kinakufaa basi angalia, ukiona hakikufai basi angalia vipindi vingine mbona vipo vingi tu.

Biashara huria hii (open & free market) na huyo NIKKI MBISHI pia ni vyema akaanzisha kipindi chake naye na ahoji watu wake nae.

Anahitaji vitu vichache tu ambavyo nina hakika anaweza kuvi-afford maana connection anazo tayari.. :-
• Wazo (idea & content) la kipindi.
• Kutambua na kusoma Trendings, ili kwenda na wakati na kuongezea Ubunifu.
• Leseni ya TCRA kwa Online Media,
• Camera ya kushoot HD Video (hata camera ya simu kama Samsung, Huawei, iPhone, Sony etc. atumie tu kama inashoot in HD Quality)
• Angalau 3GB of internet Data (internet) kwa ajili ya ku-upload kipindi online.
• atahitaji maarifa ya kuedit video kwa kutumia Software na Computer.
• Marketing/promotion ya kipindi kwake itakuwa rahisi kidogo sababu ana wafuasi (followers) ktk social nets na pia he is a celeb.



Au akishindwa yoooooote hayo basi aanzishe Partnership na ONLINE MEDIA nyingnezo ambazo zipo tayari afu awe anahoji watu yeye na kuweka vipindi vyake huko.
(He is a celeb, so hawezi kosa media, maana Media znategemea Contents za Celebs pia ktk Biashara za Media zao)

Kwa yeye MTU MAARUFU hataanzia struggle za from the scratch ya kukatisha tamaa ukilinganisha na watu kama mie ambao PESA HATUNA na UMAARUFU hatuna vile vile.
 
...She is talentented anajua ku spot the right people to interview ...tusianze kuwekeana kizaa
 
Nikki mbishi huyu jamaa ana tabia za kipuuzi sana na inabidi anyooshwe kama inawezekana wakati tupo mbeya university of science and technology(MUST) huyu boya alishawahi kugombana na roommate wake mmoja hivi anaitwa dizzo jamaa aka log in kwenye account ya huyo dizzo akawatukana marafiki wote wa mshkaji huku akijua wengine ni shangazi zake,baba zake,mama zake n.k km haitoshi akazinguana na mwanaye mwingine Boaz alikula kichapo mpk basi , kuna siku tumedeki fresh room kwetu kanywa pombe kana kutapika mwana wa kuitwa tom mapesa bila kumzuia Nikki alikuwa analiwa kiboga the guy ni wack na ana tabia za kisengerema
 
Basi huyo Salama yuko juu sana, maana watu wasiopata nafasi ya kuhojiwa katika kipindi chake wanalalamika.

ila vipindi vipo vingi na katika Channels Tofauti tofauti iwe ni ONLINE MEDIA au TRADITIONAL BROADCASTING MEDIA.

sio lazma kila MTU ahojiwe na Salama.

Ukiona kipindi kinakufaa basi angalia, ukiona hakikufai basi angalia vipindi vingine mbona vipo vingi tu.

Biashara huria hii (open & free market) na huyo NIKKI MBISHI pia ni vyema akaanzisha kipindi chake naye na ahoji watu wake nae.

Anahitaji vitu vichache tu ambavyo nina hakika anaweza kuvi-afford maana connection anazo tayari.. :-
• Wazo (idea & content) la kipindi.
• Kutambua na kusoma Trendings na ka-Ubunifu kuongezea.
• Leseni ya TCRA kwa Online Media,
• Camera ya kushoot HD Video (hats camera ya simu kama Samsung, Huawei, iPhone, Sony etc. atumie tu kama inashoot in HD Quality)
• Angalau 3GB of internet Data (internet) kwa ajili ya ku-upload kipindi online.
• atahitaji maarifa ya kuedit video kwa kutumia Software na Computer.
• Marketing/promotion ya kipindi kwake itakuwa rahisi kidogo sababu ana wafuasi (followers) ktk social nets na pia he is a celeb.



Au akishindwa yoooooote hayo basi aanzishe Partnership na ONLINE MEDIA nyingnezo ambazo zipo tayari afu awe anahoji watu yeye na kuweka vipindi vyake huko.
(He is a celeb, so hawezi kosa media, maana Media znategemea Contents za Celebs pia ktk Biashara za Media zao)

Kwa yeye MTU MAARUFU hataanzia struggle za from the scratch ya kukatisha tamaa ukilinganisha na watu kama mie ambao PESA HATUNA na UMAARUFU hatuna vile vile.

It’s good to know , Nina mpango wa kuanzisha online Tv, umenipa mwangaza pia Thank
 
It’s good to know , Nina mpango wa kuanzisha online Tv, umenipa mwangaza pia Thank
itakuwa vizuri Sababu contents unazo nyingi tu. Na kwa JF humu uko vizuri katika ku-run ID yako ya Warumi.
Sasa ni muda huyu Warumi watu wapate contents zake kupitia ONLINE CHANNELS huko YOUTUBE pia.
Ukiwatangazia watu humu JF kuhusu Channel yako ya YouTube lazma utapata Subscribers mdogo mdogo kadri siku zinavyoenda.
Itabidi tuwasiliane ili tuone ni jinsi gani tunampeleka Warumi kunako YouTube.

You do the content, afu let me handle the multimedia and strategies for you.

You want to go faster, then go alone. But if you want to go further, you should take others onboard (team) afu nenda nao.

Let's do this Warumi.
 
Sasa Nikki anastori gani...hajawahi kudate bongo movie wabongo wanapenda stori hizo
 
Kwa msio mfaham Nikki Mbishi
 
itakuwa vizuri Sababu contents unazo nyingi tu. Na kwa JF humu uko vizuri katika ku-run ID yako ya Warumi.
Sasa ni muda huyu Warumi watu wapate contents zake kupitia ONLINE CHANNELS huko YOUTUBE pia.
Ukiwatangazia watu humu JF kuhusu Channel yako ya YouTube lazma utapata Subscribers mdogo mdogo kadri siku zinavyoenda.
Itabidi tuwasiliane ili tuone ni jinsi gani tunampeleka Warumi kunako YouTube.

You do the content, afu let me handle the multimedia and strategies for you.

You want to go faster, then go alone. But if you want to go further, you should take others onboard (team) afu nenda nao.

Let's do this Warumi.

Nimechelewa kuona this one , aiseh umenipa motisha kubwa sana , a lot of peeps have been advised me kifanya hivyo , na ni kitu ambacho ninakipenda sana kwa kwel


Let’s go PM tuyajenge binamu , hopefully we can come up with something amazing , hili jina la warumi tulipeleke mbele zaidi . Tumekalia pesa aiseh

Nichek PM mkuu
 
Back
Top Bottom