shida ni hizi media za kibongo, nashanga joh makini anaimba mara nadinda mara napeleka mafekeche dsm sijui nn lakini anavyopata airtime utafikiri yule mkulu wa magogoni
"Usisubiri mpaka uitwe, njoo mwenyewe nadata na vikuku kwa kuwa mimi ndio jogoo mwenyewe"
"Usisubiri mpaka unase ngoma uathirike Ndio dini uzifaate dhambi uzikache neno ulishike swala tano sana mixure ujifanye mzee wa kanisa yote tisa kumi ni upako japo umekwisha"