Nikki wa pili aichambua katiba inayopendekezwa


Hebu soma post yako kama unajielewa....ndugu kasome vizuri eti "liliachwa ili lije liwekewe nyama" hivi unajielewa wewe watu wanataka waonekane wakitajwa kwenye katiba unasema lije liwekewe nyama.....na je zisipo wekwa....acha utabularasa wewe wa kuwa bendera fuata upepo
 
acha kuongozwa na hisia za kichama,kama ulikuwa huijui ile rasimu ya katiba ya jaji warioba sema usaidiwe.sio una bwabwaja kama umefungiewa motor kwenya mdomo.unadhani kutajwa kwenye katiba ndo suluhisho,sasa wamepata haki ni haki gani ambayo huwezi kuidai.
 

kubwa jingaaaa!! Hiloooo
 

Mie nina wasiwasi kama hata kama wewe umejielewa ulichoongea.....au ndo maneno ya kishujaa baada ya kukosa cha kusema...mbn watu hamtaki kuelimishwa
 
Mie nina wasiwasi kama hata kama wewe umejielewa ulichoongea.....au ndo maneno ya kishujaa baada ya kukosa cha kusema...mbn watu hamtaki kuelimishwa
Mdomo wake hauna vocha ndo mana anakurupuka ovyo utadhani anaenda kufuata chakula cha msaada wa njaa.
 
Katiba pendekezwa haipiti. Wasanii MNA sanaa gani zaidi ya kukopikopi tu? Hamko creative Je hizo haki mnazozitaka kwa kazi za wizi ni haki gani?
 
Katiba pendekezwa haipiti. Wasanii MNA sanaa gani zaidi ya kukopikopi tu? Hamko creative Je hizo haki mnazozitaka kwa kazi za wizi ni haki gani?
Unajua maana ya bujibuji? Maana yake kinyesi kwa lugha ya kwetu, kwahiyo wala sikushangai kwa unayoyaongea humu ndani.
 
Huyoooo nicki minaji,kazoea kujisifia na kuona mawazo yake ni sahihi kuliko ya wtz tuloona wameichakachua,sishangai km ulisema baada ya mungu ni mzungu je ?kwenye Hilo
 
Haka kajamaa ndio kanahisi ndio kasomi Tanzania nzima...hata uwezo wa kufikiri bado uko 0°c...elimu si kipimo cha uwezo wa kufikiri na kupambanua mambo
 
Haka kajamaa ndio kanahisi ndio kasomi Tanzania nzima...hata uwezo wa kufikiri bado uko 0°c...elimu si kipimo cha uwezo wa kufikiri na kupambanua mambo
Elimu muhimu wewe acha wivu kwa wenye elimu zao, wewe hukupenda kusoma ndo mana ulifeli sasa wenye mapenzi mema na katiba waache wawe nayo we kama huna mapenzi na nchi yako na katiba pendekezwa basi acha malalamiko kaa kimya manake ukielimishwa bado hutaki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…