Nikki wa pili aikashfu Biblia na hadithi ya uumbaji

Nikki wa pili aikashfu Biblia na hadithi ya uumbaji

Status
Not open for further replies.

Idiot Embicile

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2019
Posts
1,037
Reaction score
1,974
Msanii wa mziki wa Hip-hop Tanzania maarufu kwa Jina la Nikki wa pili ameweka bandiko katika mtandao wa Instagram.Bandiko hilo limeonekana kama ni kashfa dhidi ya kitabu kitakatifu Cha Biblia kwa waumini wa dini ya Kikristo.

Katika bandiko hilo Nikki wa pili amesema (nina paraphrase ) "Story ya Mwanamke kuumbwa kutoka katika ubavu wa mwanaume.ni story ya zamani iliyoandikwa na mwanaume na inachangia mfumo dume". Wachangiaji wengi wamemponda Nikki wa pili wakionyesha hisia zao za kukerwa na maandiko hayo.Mmoja wa wachangiaji ni Adam mchomvu ambaye alichangia "Shame on you Lil bro".

Hii inaonekana Kama kashfa dhidi ya Biblia kwa sababu wakristo wanaamini kimetokana na Mungu hivyo kusema kimeandikwa na "mwanaume" imetafsiriwa Kama kashfa.Pia kukiponda kinachochea mfumo dume.

Napata tabu kuweka screenshot aliyeiona anaweza weka
Screenshot_20190514-181759.jpeg
 
Nilisikia ni mwanafunzi wa PhD huyo kijana kuna ukweli wowote?
 
Chalii ya R ametoka kuvuta kitu ya ngarenaro lazima apuyange tu.Anaweza akawa ameongea ukweli fulani kwa upande wake.

Lakini hajaandika mahali sahihi,hajatolea maelezo ya kutosha na katika wakati usio sahihi.
eroo, acha bangi, usahihi upi?
aandike anapiungana na Mungu, alafu wote tumtag-Mungu kupitia maombi na sala ajibu tuone nani mshindi.
 
jamaa anajionaga kasoma sana na anajua kila kitu

Write your reply...
Sio anajiona kiukweli jamaa kasoma kuwa na masters sio kitu kidogo.ila ndo hivyo labda mjaribu kum cretisize kama binadamu na muondoe elimu hapo mtapata muafaka.
 
much know sometime mzigo
au anataka kuachia wimbo maana wasanii bongo kwa kiki
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom