Hata awe na PhD 10 kama hana hekima ni kazi bure...Nilisikia ni mwanafunzi wa PhD huyo kijana kuna ukweli wowote?
Duuh,kuwa na Masters miaka hii ndo unamuona kasoma sana? teh teh tehSio anajiona kiukweli jamaa kasoma kuwa na masters sio kitu kidogo.ila ndo hivyo labda mjaribu kum cretisize kama binadamu na muondoe elimu hapo mtapata muafaka.
Duuh,kuwa na Masters miaka hii ndo unamuona kasoma sana? teh teh teh
Huyo dogo ni mweupe sana kinacho mvalue ni uwezo wa kumeza madesa ya sociology.Nilisikia ni mwanafunzi wa PhD huyo kijana kuna ukweli wowote?
Sijaona kashfa hapo. Pengine anaona mbali sana.Msanii wa mziki wa Hip-hop Tanzania maarufu kwa Jina la Nikki wa pili ameweka bandiko katika mtandao wa Instagram.Bandiko hilo limeonekana kama ni kashfa dhidi ya kitabu kitakatifu Cha Biblia kwa waumini wa dini ya Kikristo.
Katika bandiko hilo Nikki wa pili amesema (nina paraphrase ) "Story ya Mwanamke kuumbwa kutoka katika ubavu wa mwanaume.ni story ya zamani iliyoandikwa na mwanaume na inachangia mfumo dume". Wachangiaji wengi wamemponda Nikki wa pili wakionyesha hisia zao za kukerwa na maandiko hayo.Mmoja wa wachangiaji ni Adam mchomvu ambaye alichangia "Shame on you Lil bro".
Hii inaonekana Kama kashfa dhidi ya Biblia kwa sababu wakristo wanaamini kimetokana na Mungu hivyo kusema kimeandikwa na "mwanaume" imetafsiriwa Kama kashfa.Pia kukiponda kinachochea mfumo dume.
Napata tabu kuweka screenshot aliyeiona anaweza wekaView attachment 1097660
Ndio maana nikasema kwa waumini wa dini ya Kikristo ambao wanaamini Biblia.Bila Biblia hakuna ukristo,kwenda kinyume nayo ni kashfa kwao.S
Sijaona kashfa hapo. Pengine anaona mbali sana.
Yupo sahihi ila kuandika public hvyo hauyupo sahihi...
Ila ni kweli hizo story zimeandikwa na watu tu
Sio anajiona kiukweli jamaa kasoma kuwa na masters sio kitu kidogo.ila ndo hivyo labda mjaribu kum cretisize kama binadamu na muondoe elimu hapo mtapata muafaka.
phd makaratasi tu, huko serikalini ma phd ndiyo yamejenga kituo cha mwendo kasi jangwani.
AMINASala ya askofu SHOO imefika Dar, huyu ni kifutu ametosheka pesa na umarufu kma yule kifutu wa kule Moshi, soon Mungu atamshusha chini