Nikki wa Pili amvisha Pete ya uchumba mpenzi wake

Nikki wa Pili amvisha Pete ya uchumba mpenzi wake

Hili swala la kupiga magoti huwa nalipinga sana
Sema ifike mahali tubadilike. Tujifunze kila mtu ana namna yake ya kuishi. Hatuwezi kufanana. Hapo ulipo sio kila tabia uliyonayo watu wanaifurahia, wanapotezea life goes on.

Na mwisho wa siku kila kitu ni namna unavyotafsiri, Mpiga goti katafsiri upande wewe utatafsiri udhaifu. Ni vizuri kukinzana mawazo ila inapofika mahari unakereka kabisa kwa kitu ambacho hakina athari hasi kwenye maisha yako au hata jamii kiujumla that's a very big problem.
 
Umeongea point sana kwenye last line, ukiwa na mwanamke alafu unampost sana, wapo watakao kuchapia tu, hapa mjini kuna watu wana mbumba ndefu kuliko wewe: Imagine una demu wako siku unaumwa upo dom anaenda mlimani city kununua charger ya simu maana tecno yake inamsumbua: Mlimani anakutana na Kajamaa kamepiga viwalo vikali na perfume aina ya DKNY Golden Delicious inanukia , ameswaki vizuri, ame shave vizuri,amevaa smart watch ya apple na ana iphone 14 plus, kapiga simple raba ya Air Jordan, amekunja shati kama Obama na jeans ya Levis, anamwambia demu wako amuelekeze lilipo duka la Apple akanunue ipod maana yake alisahau kwenye ndege jana yake akiwa anatoka serengeti kwenye vaccation .Demu wako anamsindikiza wakiwa wanaongea demu wako anamwambia amekuja mlimani anaangalia kwenye akaunti yake ya MNB kama ametumiwa hela na wazazi ili akanunue chaja ya kobe Kariakoo maana simu hichaji, Mwamba anampa pole alafu wanaenda duka la iphone anamwambia dada achague simu , demu anachagua iphone 13 xr, anamkumbatia jamaa anabaki na harufu ya manukato mazuri sana, anajisahau anatoka dukani kamzungushia mikono kiunoni, wanaenda nje kuna mghahawa wanapata kapuchino, giza linaingia mwamba anaondoa na demu wako mpaka Masaki kwenye Air BnB , anamla na anapewa maokoto:
#Mwanamke wa chuo si mke.
Hayo maelezo uliyobold utasema movie ya kanumba
 
Back
Top Bottom