Django Doer
JF-Expert Member
- Jun 30, 2023
- 2,865
- 5,184
Dunia tambara bovu 😆😆Muhuni anavimba mistari kibao.. akiingia studio anashuka tu.. kumbe wana wanamlia taimingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dunia tambara bovu 😆😆Muhuni anavimba mistari kibao.. akiingia studio anashuka tu.. kumbe wana wanamlia taimingi
Kalaga Baho Nongwa nae apewe 😄Ntahangaika na wangapi...😁
Ya reree inatosha
Sio kalamaganda kabugi tena?Yes mtoto wa mwigulu nchemba huyo
Umeridhia na yeye ni m-bless..?🤣Kalaga Baho Nongwa nae apewe 😄
Umepewa bure hiyo Nyamwi255 😊Umeridhia na yeye ni m-bless..?🤣
Na Nikki bado yupo naye tu?Yeah ni nchemba mkuu
Ni haibu kubwa sana kumpigia magoti demu anayeliwa na wengine huku akikutukana na kukusuta kwa wanaume wenzako.Rapa msomi kutoka kiwanda Cha bongo fleva Nikki wa Pili amemvisha Pete ya uchumba mpenzi wake wa siku nyingi , akitarajia kuaga rasmi kambi ya ukapela
View attachment 960833
Sema ifike mahali tubadilike. Tujifunze kila mtu ana namna yake ya kuishi. Hatuwezi kufanana. Hapo ulipo sio kila tabia uliyonayo watu wanaifurahia, wanapotezea life goes on.Hili swala la kupiga magoti huwa nalipinga sana
Shemeji kasafiri sasa umeachiwa 😹
Hahahah Lamomy je!Shemeji kasafiri sasa umeachiwa 😹
Hayo maelezo uliyobold utasema movie ya kanumbaUmeongea point sana kwenye last line, ukiwa na mwanamke alafu unampost sana, wapo watakao kuchapia tu, hapa mjini kuna watu wana mbumba ndefu kuliko wewe: Imagine una demu wako siku unaumwa upo dom anaenda mlimani city kununua charger ya simu maana tecno yake inamsumbua: Mlimani anakutana na Kajamaa kamepiga viwalo vikali na perfume aina ya DKNY Golden Delicious inanukia , ameswaki vizuri, ame shave vizuri,amevaa smart watch ya apple na ana iphone 14 plus, kapiga simple raba ya Air Jordan, amekunja shati kama Obama na jeans ya Levis, anamwambia demu wako amuelekeze lilipo duka la Apple akanunue ipod maana yake alisahau kwenye ndege jana yake akiwa anatoka serengeti kwenye vaccation .Demu wako anamsindikiza wakiwa wanaongea demu wako anamwambia amekuja mlimani anaangalia kwenye akaunti yake ya MNB kama ametumiwa hela na wazazi ili akanunue chaja ya kobe Kariakoo maana simu hichaji, Mwamba anampa pole alafu wanaenda duka la iphone anamwambia dada achague simu , demu anachagua iphone 13 xr, anamkumbatia jamaa anabaki na harufu ya manukato mazuri sana, anajisahau anatoka dukani kamzungushia mikono kiunoni, wanaenda nje kuna mghahawa wanapata kapuchino, giza linaingia mwamba anaondoa na demu wako mpaka Masaki kwenye Air BnB , anamla na anapewa maokoto:
#Mwanamke wa chuo si mke.
Fuatisha baadae utanipa majibu.Hayo maelezo uliyobold utasema movie ya kanumba
We bibi tumia akiliFuatisha baadae utanipa majibu.
CountrywideHivi wewe kutulia huwezagi? 😹
Yani umeingia humu ni kunimention unanijazia notification bhana.!!