Nikki wa pili, msanii wa kizazi kipya anayesoma PhD

Ndo kijana anaejiita sweet mangi namkubali niki mbishi me watu wanojipendekeza siwapendi ongera kwa Mbali namuona lipumba wa Music
 
Anapiga dei waka kwa ruge
 
Afu akihitimu akaajiriwe kwa Diamond Platinum!! Hapo ndipo unapoona phd ya kibongo haina mpango!! Wako wengi sana kama yeye wanaongozwa na na watu wenye vijidiploma tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…