Loji mkuuWistazz ni kitu gani wakuu
PhD imetafuniwa na PhDPhd ya procurement
Kwa hiyo kachakata Wistaz na France au sijaelewa?Wistazz lodge nouma Sana maulid biria n
Dr. Kenda kashafanya yakeAna masters ya development studies.
Ya mabao kendaPhD ya nn jamani? π
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1732]Vitu vya ufaransa na profesri wa jalalani. Ndo maana sitaki kuoa naogopa karma nikikumbuka navyowafanyia wake za watu hapa na wala hata sihongi ni saundi tuu na mwili wa kuvutia.
π π πYa mabao kenda
Demu wake yupo wapi?!Tatizo anashinda na wahuni walioishia darasa la saba ,wasanii ,wavuta bangi so he is a genious amoung fellow fools ,huyu dogo ni mzuri lakini anajipa malengo ya mia wakati uwezo wake wa chini ni mia mbili so ajiona anaoverperform amongst wrong competitors ,hajachelewa umri wake mdogo hebu atuoneshe tofauti yake na nikki mbishi ,yaani amejibrandy na demu like real? gangster toka chuga ? sisemi asipende ila show off haitofaa