Sio nikki tu aliyekua hajawahi kufeli, wale waliopita diploma pia wengine hawajawahi kufeli, tunahitaji atleast mwaka upi aliongoza au alikua katika wanafunzi kumi bora
kwa kuwa kufeli ni grade F, chini ya division IV na chini ya PASS GPA hvyo hyo siyo ishu. angetaja alikuwa anascore vipi yaan form IV, VI na chuo GPA gan