Kitivoni ni udsm school of Law,Mimi nime kuelewa Tangu ulipotumia neno kitivoni,My learned brother...Sasa kwa kifupi nilisoma hich chu n kozi niliyosoma mimimum cut off point za nilipokua ninasoma ilikua ni 12.5 point upo hapo....basi wewe ni mshabiki maandazi kama ungelikua umesoma UDSM ungenielewa..ila maana ni mshobokaji ndo mana haujanielewa sawa...
Kama ni stress za mnyuko wa Maisha nitafute upate vibarua huu wivu utakuja ukuue.Nafahamuu sasa hapo hajafeli kitu gani? tena nimesema alifeli A level sababu kwa combination yake huwezi kukimbilia PSPSA tena kabla ya TCU hata Dvsion II.10 ulikua unasoma PSPA kwa private sponsorship upo hapo...
Aisee waafrika tunashika namba Moja ulimwenguni alafu wanafata wengine ila wa Africans ni Conco.binadam tungeweza kuondoa WIVU dunia ingekua mahali pazuri pa kuishi
Mimi na ujinga nilionao sijaona hata sehemu yakuzua mdahalo mkubwa kama huuAisee waafrika tunashika namba Moja ulimwenguni alafu wanafata wengine ila wa Africans ni Conco.
[emoji817]
Great minds discuss ideas; average minds discuss events; small minds discuss people.Mimi na ujinga nilionao sijaona hata sehemu yakuzua mdahalo mkubwa kama huu
Unamjua Prof Ole Shangwea ? au Prof Ole Meiludie ?msomi wa Arusha yote , hongera zake
prof j anaakili sana kama angelienda darasani angeliongoza maana nyimbo zake nyingi zina maudhui na zinafundisha sana sio kama hawa marapa wa sikuizi wanarap upuuzi tuu na mapenzi na wengine wanaimba kabisa rnb!
Sikiliza nyimbo kama ndio mzee,
HAHAHAhahha...Ila ume disappoint kisela.Game la elimu bongo lilikushinda.Hata mimi sijawahi ku flunk out shuleni.
After all, dogo ya profesa ita flunk out kivipi wakati tufaha huwa halidondoki mbali na mti wake😉.
Itakua fresh ukianza na waliokuzunguka sio watu wa mitandaoni usiowajua maana itkua design ya unafiki fulani hivi au sio...Kama ni stress za mnyuko wa Maisha nitafute upate vibarua huu wivu utakuja ukuue.
[emoji817]