Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na unajua hakuna cha buree mjinii.Nikucheki kule??? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkwe! Wewe hutaki mkeNaomba nimtaje pm,
Mbona nimepita hakuna hata receptionist 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hajui huyoo.
Basi baki nalo silihitaji hata😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ibakiii hivyoooo!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Basi baki nalo silihitaji hata[emoji23]
Nimeacha request yangu pale, hebu fanya mambo basi 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na unajua hakuna cha buree mjinii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimeacha request yangu pale, hebu fanya mambo basi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lile jukwaa lilishapigwa Pini halipo kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mie sitaki kuhongwaa, si ukaongee na moders,
Oya ndugu yetu ame zila 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan unadhanii hata hao moders watakubaliii? Ndo nkajibuu ibakiii hivyoooo.Lile jukwaa lilishapigwa Pini halipo kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Oya ndugu yetu ame zila [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukale hata prons na mihogo weweMimi siendi
Utaogelea?
Mshana Jr uchawi😂😂😂
Mkuu we acha tu, na kipindi kile Jamiiforums ilikuwa ina operate virtually, na watu wengi walikuwa wanashusha nondo za nguvu zile quotes zako na reactions kwa Member ndio zilikuwa zinaleta ukaribu. Halafu watu wengi humu walikuwa wana misimamo kwenye hoja. Majukwaa yalikuwa yamegawanyika kabisa. Members fulani ni MMU, Members fulani ni Siasa, Members fulani walikuwa kwenye jukwaa la dini. Sio siku hizi uzi wa Siasa unaanzishwa hata kwenye jukwaa la Sports. Kuaminiana ndio kulikuwa kunaanzia hapo.
We ulikua mtabe wa nnMshana sidhani kama alikuwepo
BAK ni entertainment
Faiza Foxy ni Siasa na Udini