Chris_Mambo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2010
- 595
- 122
mamaaa, ila siogopi hawezi kuwa na hisia yeyote, uchawi wa huko kwao bado unadaiwa ni ule wa kutembea na fisi.Hivi wewe unajua uchawi??? angekuroga hata hapa usingekuja kuuliza swali kama hili, na kama kweli mchawi basi sasa hivi keshapata alarm fulani unamteta humu, na ole wako ukutane nae leo utakoma......hahahahaha hakuna kitu kama hicho
asante bosi.Fanya utafiti wa kina kuhusiana na taarifa ulizozipokea baada ya kuzithibitisha achana naye lkni kwa muda huu usioneshe ishara zozote mbaya kwa huyo dada kwani huna hakika kwa shut uma ulizozisikia
Ndugu yangu yamenikuta kama yaliyomkuta Diamond.hehehehe sharo bwana...kesi yako na wema vipi lkn?
thank you brodaMtoto wa nyoka ni nyoka, LAKINI MTOTO WA TAJIRI ANAWEZA KUWA MASKINI WA KUTUPWA! Listen brother, kama huyo binti ni mchawi, utagundua tu, na pia kama si mchawi utajua tu. Believe me, unaweza kuwa safe sana na mtu aliyetoka kwa wachawi lakini yeye ana negative attitude na uchawi!
hapana bana, we mbona unataka kunifanisha na watu wanajisifia wenyewe? Yule mara aseme eti anaitwa hendsum na wanaume wenzie mara sijui nini, so we huoni kama niko tofauti, mi nimeingia pabaya bwana, niambie namna ya kutoka humu.Hizi mada zingine bana!E bana we sharo kuna mwenzio anaitwa hand some kule anatafuta mchumba naona we mtaendana
Dah! Suali gumu. So we unataka niendelee nae kisa yeye asije akakosa mpenz au?
dah, umeongea kwa jazba sana. Mtoto kiukweli kanizimisha, mhhhh! Ngoja nijaribu naamini kama ananipenda hataniroga hata kama angekuwa mchawi.Akose mpenzi kwani mwanaume umebaki wewe peke yako duniani?Atapata watakayeendana kisera!Nashangaa mpaka sasa bado unahoji,umesikiliza ushauri wa watu wengi humu,masuala ya uchawi unajua ni ya kufikirika zaidi.Tuliza akili yako,tafakari uliyoshauriwa kisha chukua hatua.Kama uko serious unatafuta mwenza wa maisha.........acha mzaha...........inaelekea umeleweshwa na urembo wa bibie,ukithibitisha hizi tuhuma jinasue haraka sana kaka.
si bora ndugu yangu ungekuwa uchawi wa kuleta mafweza, uchawi wenyewe ni wa kumalizana.Kama anakupenda we hofu yako ni nini? Shukuru utapata mtoto mchawi hahahahaha!
Kama anakupenda we hofu yako ni nini? Shukuru utapata mtoto mchawi hahahahaha!
sidhani, kama ikitokea ni mchawi kweli na tukaishi wote pamoja, sidhani kama anaweza kuniteka hadi mawazo kiasi kwamba niitikie kila kitu yeh! Nitaishi kwa machale.Mpaka huyo mtoto aje kuzaliwa,na baba yake atakuwa mchawi tayari!................si unajua kupenda kukipitiliza..............kila kitu ..........yes babe!
Soma taarifa hii ni ya kweli:
'Katika kijiji kimoja alitokea kijana mmoja ambaye aliongea na wanandoa wawili kama ifuatavyo: Alipomwendea mke alimwambia kuwa mumeo anao mkia sehemu ya nyuma pale makalio yanapopakana, endapo unataka kupata ukweli mtakapokuwa kwenye mechi peleka mkono wako mahali pale nawe utajiridhisha. Muda mfupi baadaye akakutana na mume naye akamweleza vivyo hivyo. Kila mwanandoa akaamini kwamba mwenzake anao mkia huko nyuma. Kwa bahati mbaya mke alikuwa wa kwanza kupeleka mkono kwenye makalio ya mume; mume aling'aka na kumwuliza kwa nini unapeleka mkono wako huko? Mke hakujibu, ndipo mume naye alipojitosa kupapasa eneo la makalio ya mama, mke naye aling'aka vile vile ndipo walipoulizana kwa upole kwa nini kila mmoja alitaka kumpapasa mwenzake ndipo ilipofahamika kuwa kila mmoja alikuwa na taarifa za mwenzake kuwa na mkia. Walijikuta wote wawili wamedanganywa na mtu yule yule kwa vile alitaka kuvuruga uhusiano wao wa ndoa.
Nionavyo mimi, inakupasa ufanye utafiti wa kina sana kupata ukweli wa huyo mchumba wako kama kweli familia yake ni ya wachawi, inawezekana mtu aliyekuambia anayo nia ovu kama taarifa hiyo hapo juu inavyojieleza. Kama mtoto ametulia utayasikia mengi sana mfano ukoo wake una magonjwa ya kurithi kama ukoma na mengineyo. Kuwa makini sana katika kipindi hiki unapoelekea kujipatia jiko.
sidhani, kama ikitokea ni mchawi kweli na tukaishi wote pamoja, sidhani kama anaweza kuniteka hadi mawazo kiasi kwamba niitikie kila kitu yeh! Nitaishi kwa machale.
Weka picha kwanzawasalaam MMU!
kama ni kuchanganyikiwa ndo nahisi nachanganyikiwa!!
Katika pitapita zangu na kujituma kwangu kumsaka mchumba ambae ni mzuri nilibahatisha kumpata mtoto wa makabila mmojawa maarufu sana ktk mkoa wetu wa Arusha.
Mtoto mwenyewe si haba, mtoto mweupeee!!
Mtoto wezereee!!
Mtoto unywele!!
Mtoto smile!!
Mtoto meno meupeee!!
Mtoto mguu!!
Dahhhh!!
na kiukweli nilikuwa nikipita nae kila mahali masela nilihisi kama kuna ka uhasama mfali, kina dada walininunia bila sababu kisa kuwaambia ukweli kuwa my hny yre(wayre nilipenda kumwita hivo) kauteka moyo wangu na naahidi kumpenda kwa dhati!!!
Looo! Kuna taarifa ambazo nimeanza kuzipa kutoka kwa marafiki zangu wa mtaani kwao kwamba ile familia ni issue, mama wao aliwahi kumuua mumewe na 7bu zingine kibao zikiwa ni pamoja na kutokuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanaume majirani zao!!
Sasa mi nitafanyeje? Kama hizi taarifa ni kweli nikijifanya naendelea nae nitaishia wapi?
Naombeni ushauri wenu wapenzi wenzangu wa jf hasa MMU.
ahsanteni.
uchawi upo na unaua,sangoma pia ipo kama huamini ipo siku utaamin,mm namshauri azingatie pia maneno ya watu afanye evaluation,ukipuuza utaumia,utaamia Gamboshi soon..Kwani mpaka sasa bado watu wanaamini kuna uchawi? Jamani mtu akifa inakua mkataba wake wa hapa duniani umekwisha mengine yote sababu2,usiache kupenda umpendae kisa mchawi mulize ivi Eti wangu wewe mchawi manake watu wanasema hivyo, atakupa jibu
ndio waathirika wa nguvu za giza. Usiwanyanyapae.aaaaa husninyo, kwani wachawi waathirika?
wasiwasi wangu ni kwamba anaweza kupewa urithi na mama yake afu aje anifanye kama alivyofanywa babaake kutokana na za mtaa.Kumbe hata kama ni mchawi kweli unaweza kuishi naye eeh?..............................................teh teh teh................jokingSasa wewe unachohofia hasa ni yeye kuwa mchawi au mama yake kuwa mchawi....au vyote?